Wakati anaendelea kukata hiyo stori akija mtu kama vile anataka kusupoti au kubisha utasikia" nyamasa ki -ja -naa, kwansa wewe ni mtoto ndoko sanaa, usinifunjie heshima hapa, unataka kujifanya unamjua huyu kuliko mimi? kwa taarifa, mama yako anaolewa mimi naona kwa macho yangu, alaah! watu wengine banaa!" Tuendelea kijana wangu, hifi nilishia wapi filee!