Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

Kwa Ukali Dr Kitila Amjibu Ansbert Ngurumo

Status
Not open for further replies.
Kusema 'kwa ukali' ni kujaribu kufanya unnecessary amplification ya jambo ambalo hata halipo, labda kutaka kuharibu mjadala tu.

Ni vigumu kuelewa kwa nini wanatumia hata uongo kuhalalisha hoja zao au matendo yao dhidi ya CHADEMA. Ni kitu kinachoshangaza sana.

But it tells a lot.
Mkuu hapa anajicontradict mwenyewe ingekuwa kweli CHADEMA haikui asingeisema kwenye makala yake niajabu katika vyama vinavyo karibia ishirini mtu anakazana kutaja CHADEMA lakini namshukuru mwishoni kaliweka vizuri kwamba yale yalikuwa maoni yake .

Mimi maoni na mtazamo wangu CHADEMA inakua tena kwa kiwango kizuri kabisa ndo maana karibu sehemu nyingi hata ambazo wengi walitarajia na kuzoea CCM ikishinda kwa mbwembwe kulikuwa na kukabana koo na mtu anatoka na ushindi mwembamba tena sehemu za vijijini kabisa .

Katika ukuaji wa CHAMA is a gradual Process ,Siasa siyo Mechi ya Ndondo hapana ni hatua na kila hatua inachangamoto zake tunachotaka kuangalia ni chama kipi kinauwezo wa kuyamsimamia kile kinacho ya sema jibu moja ni CHADEMA.kILA MWENYE AKILI HILI ANALITAMBUA Mf.tunaongelea Katiba Mpya ..katika eneo hili CHADEMA haijatetereka,Kuchukua maamuzi magumu na ya msingi katika kulinda na kujenga nidhamu ya CHAMA...hapa CHADEMA na CUF ni wakupigiwa mfano na siyo CCM ambao wanalalamikia kwenye vungu za vitanda na wengine wakiwa wamevaa vinyago usoni(Kulalamika kupitia Mamluki).

Itakuwa ni kosa kubwa sana kwa CHADEMA kusikiliza ushauri mbovu eti kwa kisingizio cha kulinda mtu...hapana mtu hana nidhamu fukuza ...Hiki ni chama siyo kikundi cha wavuta bangi.Lazima kuwe na nidhamu ya Chama.Ni hatari mtu kujikweza na kuleta uhuni kama waliofanya hao "WAFUKUZWA" kwa kukosa nidhamu na kujiona yeye kuwa bora kuliko wengine. Viongozi wako sahihi ,na CHAMA kiko katika uelekeo mzuri zaidi ni aibu kwa msomi yeyote kuzungumzia matokeo haya na kujidai kipofu kwa kuto kuzungumzia na kuona athari zinazotokana na Tume ya uchaguzi kusuasua katika uboreshaji wa daftari la wapiga kura.
 
NaAmini DK KITILA ANAPOSEMA KUWA VIONGOZI WA CDM WANANUNUA MASHANGINGI KAMA YA SERIKALI KWA PESA YA UMMA WANAYOPEWA ANAMJUMUISHA PIA ZZK KWA SABABU NA YEYE ANA MAGARI KAMA HAYO.
VILE VILE NAAMINI DK KITILA ANAJUA ZZK ANATOA WAPI PESA YA MATUMIZI MAKUBWA HIVYO BILA KUPOKEA POSHO YA KUKAA BUNGENI
 
Dr Kitila Mkumbo kaa kimya. Kwa sasa kila unachoandika una haribu. Kitendo cha wewe kuendelea kutetea waraka wako wa siri ni kujidhalilisha mbele ya jamii ya wasomi. Waraka wako wa siri ulikuwa mzuri ulipokuwa siri. Baada ya kuwekwa hadharani sio mzuri tena. Kaa kimya utafute namna nyingine ya kutoka lakini sio kwa staili hii unayofanya.
 

Kusema 'kwa ukali' ni kujaribu kufanya unnecessary amplification ya jambo ambalo hata halipo, labda kutaka kuharibu mjadala tu.

Ni vigumu kuelewa kwa nini wanatumia hata uongo kuhalalisha hoja zao au matendo yao dhidi ya CHADEMA. Ni kitu kinachoshangaza sana.

But it tells a lot.

Kama kuna uongo unatakiwa kuusema ni upi, hivyo ndo nama ya ku-argue kisomi.
 
Viongozi wa Chadema wanahubiri wasichokiamini. Slaa anaposimama jukwaani na kusema matumizi ya serikali makubwa. Lakini wao Chadema wanatumia fedha zote za ruzuku kwa ajili ya matumizi ya UFIPA tu, ni uzandiki na unafiki wa hali ya juu.
 
Dr Kitila Mkumbo kaa kimya. Kwa sasa kila unachoandika una haribu. Kitendo cha wewe kuendelea kutetea waraka wako wa siri ni kujidhalilisha mbele ya jamii ya wasomi. Waraka wako wa siri ulikuwa mzuri ulipokuwa siri. Baada ya kuwekwa hadharani sio mzuri tena. Kaa kimya utafute namna nyingine ya kutoka lakini sio kwa staili hii unayofanya.

mkuu,
nimeipenda komenti yako.
 
UDSM kutakuwa na tatizo kubwa sana, mtu wa namna hii anapewa ukuu wa idara?
 
Bado Dakatri hujatujibu kwa ufasaha sisi wenye akili za kawaida, sijaelewa hivi HAKI hutafutwa gizani, hivi demokrasia inatafutwa gizani? yaani nje ya mfumo unaoelewaka wa kitaasisi- hivi ni kweli daktari unataka kutuaminisha kwamba kwamba utaratibu huo uliotumia kwa kuandika waraka wa SIRI ni sahihi na ULIKOSA kabisa njia nyingine ya kupenyeza mawazo yako ndani ya chama chako tena ukizingatia wewe ulikuwa mshauri wa chama kwenye haya haya mambo ya siasa, hii fursa iligoma kabisa, kabisa, kabisa hadi kuamua kujiunga na hao wengine kuratibu WARAKA huo kwenye giza totoro?

Hivi ni nini maudhui ya kitu kuandaliwa GIZANI, naamini hata kama ni kitu kizuri lakini watu lazima wakitilie shaka!! ni sawa na baba mwenye nyumba kukutwa anadokoa mboga kwenye chungu jikoni then ukasema hilo ni jambo la kawaida sababu mboga yenyewe kanunua yeye. hapa lazima kutakuwa na tatizo tena kubwa mno kati ya baba mwenye nyumba au familia yake kwa ujumla.

Sitaki kukuchocha najua wewe ni mwerevu sana, HOJA kuu kwa sisi watanzania wa elimu ya kawaida tunataka kujua ni kwa nini daktari ukaamua kufanya mambo GIZANI wakati ulikuwa na fursa ya kuyafanya hayo kwenye NURU? tena ukuwa na fursa tele ndani ya chama?

Mkuu maswali haya hayatajibiwa bali yatakuja maroboti ya Lumumba na traitors kubwabwaja tu na maneno ya kipuuzi ya kuharibu mjadala!

Nilishawahi kutilia shaka ujenzi wa hoja mujarabu wa Kitila na integrity yake,kusoma na kufaulu kunakoambatana na kukariri kama kasuku ili uchane paper sio ndio kuwa na busara na uwezo mzuri wa kujenga na kuchanganua na kunyumbua hoja!!
 
Hapa Dr. Kitila hajajibu kwa ukali. Kama ulikuwa hujui majibu ya hoja ndiyo haya. Hakuna mahali amefoka, tena ameanza kwa kusema kuwa anaheshimu mawazo ya Ngurumo. Mimi nafikiri katika mahali CDM walikosea, ni kumfukuza huyu jamaa. Kama kweli ni msaliti na alitumika na chama kingine, basi hao jamaa (CCM) wamepiga kwenye bull eye.
 
Dr Kitila Mkumbo kaa kimya. Kwa sasa kila unachoandika una haribu. Kitendo cha wewe kuendelea kutetea waraka wako wa siri ni kujidhalilisha mbele ya jamii ya wasomi. Waraka wako wa siri ulikuwa mzuri ulipokuwa siri. Baada ya kuwekwa hadharani sio mzuri tena. Kaa kimya utafute namna nyingine ya kutoka lakini sio kwa staili hii unayofanya.
ushauri mzuri sana, tauro likidodoka chutama !
 
Majibu ya Dr.Kitila ni majibu ya kisomi na ya ujenzi yanaitaji nguvu ya hoja kuyajibu....
Ni kweli kabisa Ritz. Mimi Dr Kitila amenifurahisha hasa kwa kuitumia CCM kama reference ya chama kiovu, ambapo anawakemea CHADEMA kwa kuiga mambo ya chama kiovu CCM
 
Aisee!
Ndugu Kitila, dr (wa sosioloji?) ni vema sana ukaanzisha chama chako kitachokidhi hivyo viwango unavyoota.

Hawa hawa ndugu wanaokusifia humu mtandaoni watakucheka kwa kuwa na chama ambacho si maarufu, yaani kitakuwa katika kiwango cha updp cha bwana fahmi dovutwa.
 
JF hii hii itakuja kuhukumu maana kila andiko litabaki hapa.Sawa Chadema ina mapungufu tena makubwa tu na si ya juzi, lakini kwanini kasi ya makala, kukosoa kumepamba moto sasa? Hivi leo Kitila anataka kutuambia alipokuwa anakosoa tulikuwa hatujui? Kwanini haya maneno makali makali wanazidi kuyakuza kipindi hiki?

Hivi huyu Kitila kama angekuwa anakosoa kwa kasi hii hii kabla hajafukuzwa si angejenga heshima kama mtu mwenye misimamo? Zitto aliposimama sasa ndipo alipo siku zote na tunamfahamu kwa hilo na hawezi kutushtua kwa kauli na matendo yake sasa, hata Kitila atafute justification za kiwango gani bado anazidi kutufanya tuzidi kumuweka kwenye kundi lile lile ..........

Kitila umeharibu, umekubali umeharibu, tulia tafakari hatma yako ya kisiasa ujijenge kwa namna mpya na si hii inayoonesha umejaa hasira tu za kufukuzwa na si hasira za kutaka mabadiliko.Sorry brother....
Hoja imetulia;Kitila aache siasa,hawezi; kwa makala zake anaonesha anatumiwa na maadui wa cdm.
 
Naomba tena naomba, leteni video zote zinazoonesha Dr Mkumbo akichangia hoja ndani ya vikao vya chama cha CDM. Tena nawambieni Mkumbo hatasign in tena.
 
Daktar mkumbo mwalimu wangu mpaka sasa,ana mapungu makubwa kwenye msimamo wake ktk kufikiri na kutoa maoni yake ni yeye aliyekuwa mshauri mkuu wa akina juliana shonza,mtela mwampamba ,mchange nk kipindi ambacho vijana hawa walikuwa wanakesha kwenye mitandao ya kijamii wakitukana viongozi wa kitaifa wa CHADEMA,hasa mbowe na Dr slaa, cha kushangaza hakuwahi kuwakemea hata siku moja na ni mara nyingi sana vijana hawa wamepost picha wakiwa na dr kitila ofisini kwake pale chuo kikuu,na kisha mda mfupi badae wakiendelea na kazi yao ya kutukana viongozi hawa wa chama ,lakini tujiulize wakati huo hawa vijana walikuwa na mgongano upi wa kimasrahi wa moja kwa moja na mwenyekiti wa chama na katibu mkuu wake?? na mpaka kuja na mkakati wa pindua mbowe??? kisha mkakati wa kina kitila na wenzake kuhusu kinachoitwa mpango wa mabadiliko ndani ya chama unatofautiana vipi na mkakati wa vijana wale kimaudhui???? nadhani dr kitila mkumbo hawezi kukwepa hujuma dhidi ya chadema amabazo ameanza mda mrefu sana . Kwa sasa anajitahidi kujifany mchambuzi huru wakati hajawahi kuwa huru hata siku moja,nshukuru sana watanzania wa leo ni tofauti na wa jana.
 
....Maoni yako ni maoni yako kama ambavyo ya kwangu ni maoni yangu, sio sheria. Hatuna uwezo wa kulazimisha watu wakubaliane na maoni yetu. Tunachofanya ni ushawishi tu wa hoja. Wapo watakaoshawishika na wapo ambao hawatashawishika kwa sababu zao: ama kwa kuona au kutoona uzito wa hoja au kwa kuwa tu wanampenda au hawampenda mwandishi wa hoja husika. Hiyo ndiyo tabia ya hadhira na huna namna ya kubadilisha hili. Tujifunze kuheshimu maoni ya wengine bila kulazimika kukubaliana nayo. Na tujifunze pia kutokulazimisha maoni yetu kuwa ndiyo ukweli!.....

CHADEMA wanakosea hapa...wakijirekebisha eneo hili tutawaza kuwaunga mkono.
 
Kama kuna uongo unatakiwa kuusema ni upi, hivyo ndo nama ya ku-argue kisomi.

mmeathiliwa na ukoloni kweli,kuargue kisomi ndo nini??? kuargue ni kuargue tu hata - kisomi,hata asiyesoma anaweza kuargue
 
huu upuuzi wote wa wanasiasa walaghai utakwisha pale ambapo iwagombea huru watakaporuhusiwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom