Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Nashukuru kwa swali zuri, tunaposema gharama nafuu tuna maana ya materials za bei nafuu lakn zinazodumu/imara..'cheap & Durable'. pia usimamiz wa kitaalamu, kumbuka usimamiz wa kitaalamu ni kuhakikisha materials hazipotei na kaz kwenda kwa hatua 'phases'. Usimamiz mzur hutokana na uaminifu ambapo hii hupelekea kujenga kwa gharama nafuu na mda mfupi, Karbuni sana waungwana,!
Tanzania hatuna kiwango maalumu cha kupima kipato cha mtu especially walio kwenye sekta binafsi...mathalan unakuta mtu aliyejiajiri mwenyewe kwenye genge lake ana kipato cha kuaminika kuliko aliye kwenye ajira rasmi!
Tuambie huo upembuzi yakinifu uliofanya, kwamba unafanyaje feasibility study, ni nani atabeba gharama za kuandaa michoro kulingana na mahitaji ya mtu,ni vipi utabeba gharama za ushauri kwa maeneo korofi kiujenzi na huo ujenzi wa bei nafuu unamsaidiaje mtu aliye mbali na upatikanaji wa madini ya ujenzi kama jabali,mchanga kokoto na ama aliye sehemu isiyo rafiki kimiundombinu!