Ujenzi nafuu 01
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 368
- 33
- Thread starter
- #21
Mkuu kwanza kabisa ni lazima upate ramani kamili Architectural drawings na Structural drawings kwa kuwa ni ghorofa. baada ya hapo ndio zinafuata shughuli za kibali manispaa.. na pia baada ya kukamilisha hii michoro ndipo utajua gharama za ujenz, site iko wapi!!? karibu sana kwa ushaur zaid, no zpo mezani.Mkuu me naishi kijijini flan lkn senta yake nzuri kibiashara nimewaza kujenga kagorofa moja ambako katakuwa na frem 3 za vibanda kila kimoja kiwe na sm ur sm 240 up sm 240 kila fremu pia iwe nachumba kimoja chenye up wa sm 240 na ur sm 360 na seble iwe na up wa sm 270 ur 360 na juu kuwe kuna vyumba vya kulala 4 selfu na kibanda kimoja cha biashara .mkuu nipe ushauri hapa gharama za kupata raman utaratibu wa kupata kibali cha ujenzi nguzo zitahihitajika ngapi na nondo tan ngap na mengineyo natanguliza shukulan.