VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 513
- 401
Kwangu mimi naina Msanvu kama stand bora kwa wakati huu
Ndio mi nipo moro na mikoa niliyotembelea haina stend kama ya moro kwa huku afrika mashariki nafikiri inaweza ikawa ni moja ya stand bora na ya pili ktk stand nilizowahi kuziona nyingine iko nairobi kwa tz ni hii tu ya hapa morogoro.Ulishawahi tembelea mkoa mwingine wowote zaidi ya Shinyanga.
Hapo sasaUlishawahi tembelea mkoa mwingine wowote zaidi ya Shinyanga.
Kwa Kigoma nakubaliana na weweNimezunguka mikoa yote Tanzania bara, ni Stendi Kuu ya Kigoma ndio stendi ya kisasa zaidi nchi hii. Inafuatia ya Stendi mpya Tanga, inakuja Msamvu na ya Mawasiliano Ubungo.
Sa hiyo ya Kahama unaweza lingana na ya Msamvyu?!Ndio mi nipo moro na mikoa niliyotembelea haina stend kama ya moro kwa huku afrika mashariki nafikiri inaweza ikawa ni moja ya stand bora na ya pili ktk stand nilizowahi kuziona nyingine iko nairobi kwa tz ni hii tu ya hapa morogoro.
uliza tena.
Unababaika na mapicha picha, wasukuma tutaacha lini kuaibisha?
Umewahi fika hata morogoro au mwisho wako igungaKama ujenzi utakwenda kama ulivyo kwa stendi Kahama nafikiri ndio itakuwa stendi bola zilizowahi kujengwa hapa Tanzania
![]()
![]()
Product za CCMstendi Bola>>>stendi bora
Itakuwa Nzega.Umewahi fika hata morogoro au mwisho wako igunga
Korogwe ndio stand bora kabisa kwa sasa, inafuata msamvuKwangu mimi naina Msanvu kama stand bora kwa wakati huu
Weee,, li stendi gani hilo na wewe? Limejengwa Kisukuma mno! Stendi bora kwa sasa hivi hapa nchini ni Msamvu Moro na Korogwe! Stendi ya Singida haina tofauti na ya Tanga pamoja na ya Kigoma. Tanzania nzima stendi inayokimbiza ni Msamvu-Morogoro.kuna ya singida piaa inakimbizaa