Kwa ujenzi huu wa stendi Kahama

Kwa ujenzi huu wa stendi Kahama

Weee,, li stendi gani hilo na wewe? Limejengwa Kisukuma mno! Stendi bora kwa sasa hivi hapa nchini ni Msamvu Moro na Korogwe! Stendi ya Singida haina tofauti na ya Tanga pamoja na ya Kigoma. Tanzania nzima stendi inayokimbiza ni Msamvu-Morogoro.

Pia kuna stand ya Mpanda..
 
Katavi Bus Terminal
 

Attachments

  • IMG_3398.jpg
    IMG_3398.jpg
    119.3 KB · Views: 132
Mpanda
 

Attachments

  • IMG_3399.jpg
    IMG_3399.jpg
    134 KB · Views: 166
Nimezunguka mikoa yote Tanzania bara, ni Stendi Kuu ya Kigoma ndio stendi ya kisasa zaidi nchi hii. Inafuatia ya Stendi mpya Tanga, inakuja Msamvu na ya Mawasiliano Ubungo.

Msamvu ndio stendi bora nchini
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kama ujenzi utakwenda kama ulivyo kwa stendi Kahama nafikiri ndio itakuwa stendi bola zilizowahi kujengwa hapa Tanzania
50525183ce4d0bedd61b3eaa7bd5d53a.jpg

03ac6712c5295db38777ad45c9dc5958.jpg
Majizi ya mkoa huu sidhani kama mtayaweza maana kwa tunguri hayajambo!Mtapigwa mchana mchana na stendi itajengwa kwa kiwango cha stendi ya Shinyanga na hamtafanya lolote!Kwanza ramani tu yenyewe ni ya hovyo hovyo tu bila hayo mabasi ya rangi rangi na ya kisasa picha isingevutia kabisa!Hiki kijumba kama cha car wash ndiyo sehemu ya abiria?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tatizo stendi zote ni za kipuuzi..ni substandard sana...stendi hazifunikwi juu...mvua ikinyesha tabu tupu...stend inafunguliwa leo baada ya miez miwili ni mashimo tupu..taa zimeharbika..vyoo vinatapisha mavi...kiufupi bado hakuna stend bora Tanzania
 
Tatizo stendi zote ni za kipuuzi..ni substandard sana...stendi hazifunikwi juu...mvua ikinyesha tabu tupu...stend inafunguliwa leo baada ya miez miwili ni mashimo tupu..taa zimeharbika..vyoo vinatapisha mavi...kiufupi bado hakuna stend bora Tanzania

Wewe naona unaongelea Nzega..
 
Hakuna stand nzuri Kwa sasa nchini kuzidi ya Msamvu morogoro
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Bongo bana kwa michoro ya kompyuta mko poa sana sasa mkandarasi aingie saiti uone kitu ambacho atakitoa....mawee!! kwanza saruji itaibiwa mapaka basi . Angalau waliojenga stend ya msavu morogoro wanaakili kichwani na kwambaaali singida ijapokuwa hawana jengo la abiria na ofisi za mabasi. Nilitarajia wakurugenzi wote wa majiji na miji wamelekwe morogoro kwa kuruka kichura wakaeleze ni kwanini wameshindwa kutengeneza stand kama hiyo ilihali wana mapato makubwa kuliko moro?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom