Kwa ujenzi huu wa stendi Kahama

Kwa ujenzi huu wa stendi Kahama

ANDREW JOSEPH

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2017
Posts
422
Reaction score
405
Kama ujenzi utakwenda kama ulivyo kwa stendi Kahama nafikiri ndio itakuwa stendi bola zilizowahi kujengwa hapa Tanzania
50525183ce4d0bedd61b3eaa7bd5d53a.jpg

03ac6712c5295db38777ad45c9dc5958.jpg
 
Kama ujenzi utakwenda kama ulivyo kwa stendi Kahama nafikiri ndio itakuwa stendi bola zilizowahi kujengwa hapa Tanzania

Kwa aina ya uwingi wa Madini yanayopatikana huko naona hata hii Ramani ya sasa bado si ya Hadhi ya eneo la Kahama ambalo nalijua ndiyo lina ' utajiri ' mkubwa kwa hapa Tanzania na ambalo pia linavutia Wafanyabiashara wa kila aina kila Siku.
 
Wanajengea eneo gani? Uwanja wa Lowassa au uwanja wa Magufuli,Kahama kubwa mkuu
 
Back
Top Bottom