Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 364
- 645
Watu hawajui tu
Jamaa ana mahasira ya kukosa kazi
Na hawezi kupata Serikali haina uhaba wa walimu. Walimu wametosha labda afungue tution center
Watu hawajui tu
Jamaa ana mahasira ya kukosa kazi
Mwalimu mpwayungu upo?Ndio
Kilimbatz mweeee sikuweziAahaahaa
AahaaaaaaKilimbatz mweeee sikuwezi
Umemuumbua mnooo
Ila hapa ulireply kikike kike sana.We kaka vp unazan gpa ya 3.6 chamtoto
Kajiunge nayeModerator wamekosea sana kumfungia, alikuwa anaongea ukweli kuhusu changamoto za walimu Tanzania, bila kujali ni njia gani anatumia kuwalikisha ujumbe wake.
Pole Mwalimu,Kajiunge naye
Akutetee wewePole Mwalimu,
Sielewi kwanini mnachukia mtetezi wenu.
Amekuwa anajaribu kuuelimisha jamii na kufikisha ujumbe kwa serikali, maana hata Wizara ya Elimu haiwezi kutatatua changamoto zenu, ni Serikali kuu ndio inatakiwa ijue shuruba mnazopitia
Kuwa mpole,Akutetee wewe
Na tushamunyoosha
Ndo mnadanganyana na mwenzio Mpwayungu VillageKuwa mpole,
Utakuwa huru muda si mrefu