OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,199
- 103,733
- Thread starter
- #241
Tumia akili mkuu,Huyo Makonda kakukosea nini mpaka umuombee kifo?Ivi kwa nn Mungu ameruhusu Makonda aendelee kuishi, Naomba usiku na mchana AFE
Tumia akili mkuu,Huyo Makonda kakukosea nini mpaka umuombee kifo?Ivi kwa nn Mungu ameruhusu Makonda aendelee kuishi, Naomba usiku na mchana AFE
Duh! We mwenyewe umefukua hapoumeambiwa alidisco akarudi kwa hisani ya six acheni kufukua makaburi ya watu jamani
Kwa ajili ya kutuma picha na majigambo insta. Au huna acc. umfollow uone anavyojua kuitumia kompyuta.Sijuwi hiyo computer na printer pia za nini ofisini kwake. Unprofessional kabisa.
Ndio aina ya viongozi wetu, muda wote InstagramKwa ajili ya kutuma picha na majigambo insta. Au huna acc. umfollow uone anavyojua kuitumia kompyuta.
Na wakati mwingine anasikiliziaga CD.
Unaweza kutuambia unyama gani kijinsia alimfanyoa huyo mtu? Je unaweza kutupa ushahidi wa kisayansi kama unyama huo ndio ulimsababishia tatizo la tezi dume? Tusilewe sifa za kushangiliwa mitandaoni kwa kuandika maneno ya kukashifiana, wewe kama mwanaume kama mimi au marehemu Sitta basi ujue kadiri umri wako unavyoendelea ndivyo unavyokuwa na uwezekano mkubwa wa kupata shida ya tezi dume. Chances ni kubwa sana hasa na hivi vyakula na vinywaji vyetu vya kisasa. Jiangalie sana usitukane mamba kabla haujavuka mto. Na kama hutopata wewe au kama wewe sio mwanaume basi ujue babu, baba au kaka yako au ndugu yeyote wa kiume anaweza kupata hili tatizo. Haliusiani na hayo kufanyiana vibaya kijinsia.Matendo yake yatasimama daima.... Haya si matusi mkuu.....
Naona jiwe limekupata mkuu.... I'm sorry kama wewe ndiye..... Nilirusha gizani tuuuu sasa bahati mbaya limekupata!!Unaweza kutuambia unyama gani kijinsia alimfanyoa huyo mtu? Je unaweza kutupa ushahidi wa kisayansi kama unyama huo ndio ulimsababishia tatizo la tezi dume? Tusilewe sifa za kushangiliwa mitandaoni kwa kuandika maneno ya kukashifiana, wewe kama mwanaume kama mimi au marehemu Sitta basi ujue kadiri umri wako unavyoendelea ndivyo unavyokuwa na uwezekano mkubwa wa kupata shida ya tezi dume. Chances ni kubwa sana hasa na hivi vyakula na vinywaji vyetu vya kisasa. Jiangalie sana usitukane mamba kabla haujavuka mto. Na kama hutopata wewe au kama wewe sio mwanaume basi ujue babu, baba au kaka yako au ndugu yeyote wa kiume anaweza kupata hili tatizo. Haliusiani na hayo kufanyiana vibaya kijinsia.
Mkuu mimi sio Paul Makonda. Fuatilia comments au posts zangu kibao nimejieleza wasifu wangu hasa mambo niliyosomea na chuo nilichosomea ngazi ya bachelor degree. Makonda hajasoma UDSM na hajasoma masomo ya Science kiwango cha shahada ya kwanza. Mimi nilikuwa najaribu kukufundisha busara ila chaguo la kwako kufuata ushauri wangu au kutofuata.Naona jiwe limekupata mkuu.... I'm sorry kama wewe ndiye..... Nilirusha gizani tuuuu sasa bahati mbaya limekupata!!
Alisema ameandika yeyeAmeandika yeye au msaidizi wake?
ushaidi u wapi kama aliyeandaa haya majina ni Makonda.
kuyasoma mbele ya kadamnasi haina maana aliyaandika yeye ( maana walikaa kama kamati kuyaandaa)
nitatoa neno pale ntakapo pata ushahidi huu mwandiko ni wake.
hapa nani alimwandikia?Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?