Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,024
Nimezipokea Taarifa za TAL kuanza maandilizi kurejea Nyumbani kwa furaha.
Kupitia YouTube ametuonyesha akiwa kwenye mazoezi ya mwisho kutengemaa kwa mguu wake hivyo anytime from now atarudi nyumbani.
Kwa namna yeyote ile Kama binadamu ukifikia kutendwa vile alivyotendwa Tena pasipo hatua zozote kuchukuliwa tungetegemea mtu huyo kuiona nchi hii Kama sehemu isiyomuhitaji na isiyosalama kwake hivyo angeweza kutafuta ukimbizi anywhere kunusuru maisha yake awaache na nchi yenu.
Lakini kitendo Cha kurisk kote huko na kuwa tayari kuja kuishi tena katika ardhi moja na watesi wake, na kwa namna nyingine pengine kufanyanao kazi katika jengo moja, Ni tangazo zito mno la Msamaha kwao. Nikijitazama sioni Kama ningekuwa na ujasiri wa kufanya hivyo.
Nalichukulia hili sawa na mfano wa mke aliyepigika haswa na mumewe kiasi Cha kupelekwa mahututi hospitali lakini baada ya kupona badala ya kwenda kutafuta hifadhi kwa ndugu zake akaamua kurejea kwa mumewe na kuishi naye.
This is more direct way to announce forgiveness than a bunch of words while on press.
Hili sio la kubezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupitia YouTube ametuonyesha akiwa kwenye mazoezi ya mwisho kutengemaa kwa mguu wake hivyo anytime from now atarudi nyumbani.
Kwa namna yeyote ile Kama binadamu ukifikia kutendwa vile alivyotendwa Tena pasipo hatua zozote kuchukuliwa tungetegemea mtu huyo kuiona nchi hii Kama sehemu isiyomuhitaji na isiyosalama kwake hivyo angeweza kutafuta ukimbizi anywhere kunusuru maisha yake awaache na nchi yenu.
Lakini kitendo Cha kurisk kote huko na kuwa tayari kuja kuishi tena katika ardhi moja na watesi wake, na kwa namna nyingine pengine kufanyanao kazi katika jengo moja, Ni tangazo zito mno la Msamaha kwao. Nikijitazama sioni Kama ningekuwa na ujasiri wa kufanya hivyo.
Nalichukulia hili sawa na mfano wa mke aliyepigika haswa na mumewe kiasi Cha kupelekwa mahututi hospitali lakini baada ya kupona badala ya kwenda kutafuta hifadhi kwa ndugu zake akaamua kurejea kwa mumewe na kuishi naye.
This is more direct way to announce forgiveness than a bunch of words while on press.
Hili sio la kubezwa
Sent using Jamii Forums mobile app