permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,333
- 15,049
Naamini baadae utaeleza umuhimu wa kutembea na K-y jelly muda wote
Akinya analiaPole sana mkuu ndio mapambano yalivyo...
Vipi lakini njia si imerudi rudi kidogo au bado unajitonesha!!?.

Acha utani,.unaanzaje kupora panga?Hahahahaaa,ilitokea vurugu kubwa maana jamaa alikuja peke yake,nilipomzidi nguvu kwa kumpora panga alilokuja nalo ilimbidi apige kelele kuomba msaada,nikala kona
daah nimecheka sana,si hivyo tu mkuu ngumi ziliruka kimtindo salama yangu ni kwamba jamaa alikuwa muoga sana na alitegemea mno panga alilokuja nalo so nilipofanikiwa kupiga teke mkono alioshika panga na panga kumdondoka ikabidi apige yowe kuomba msaada,hapo nikapata mwanya wa kukimbia maana sikujua wananchi wenye hasira wangekujaje.Kizuri zaidi yule dem alikuwa akinisaidia kumpiga jamaa kimyakimyaHii ndio ilikuwa ya kutuambia baadae? Pole sana kijana lakini ndio ukubwa huo. Sio peke yako kuliwa kiboga. Mnaita ni ajari kazini na bila shaka you learnt your lesson
Marinda?HV ulitoka na marinda yako humo?!
Ni kweli sumu sasa yeye aliniambia yuko 'singo'Tukaribie wapi sasa? kupata kipondo hapana wewe endelea kupambana na hali yako mke wa mtu sumu.
Yale mafuta ya nywele?Naamini baadae utaeleza umuhimu wa kutembea na K-y jelly muda wote
Kawaida tu mkuuDuuu....!!! Mshikaji atakuwa anajutia kweli kuanzisha huu Uzi....!!!
Maana sio kwa post hizi jamani loh!
Njia gani mkuu?Pole sana mkuu ndio mapambano yalivyo...
Vipi lakini njia si imerudi rudi kidogo au bado unajitonesha!!?.
Kwanini?Akinya analia![]()
![]()
![]()
Sema ukweli bwana, ulitelezeshewa rungu kwa babycare kwenye exhaust yakoHakuna hata kimojawapo mkuu,niliwatoroka
Siwezi kusahau japo sitaki kukumbuka.Ilikuwa mwaka 2012 tar 28 february,usiku,dodoma.Nimepata demu tumekubaliana tukaondoka KWAKE.Hii ya kukubali kwenda kwake ilinigharimu,kumbe yule dada alikuwa na mumewe ila walikuwa wamdtofautiana kwa muda tuu.Nikienea nae na nikagegeda kimoja,ghafla mlango wa chumba ukagongwa hodi ghafla,na haikuwa hodi ya kawaida maana mlango ulikuwa unasukumwa kwa nguvu!alikuwa ni huyo mumewe kumbe alikuwa anatuchora toja mapema tulipokuwa maeneo anayofanyia biashara yule demu!!kilichoendelea nitawaambia baadae wakuu,(halafu wanawake,mbona nyie waongo waongo sana?kwanini msiwe wakweli jamani aaah,mnatuharibia CV).
Karibuni.
Haha mkuu una uzoefu na hilo donda nini!!! Mbona unajua sanaAkinya analia![]()
![]()
![]()
njia ya vumbiNjia gani mkuu?
Si kweli mkuuSema ukweli bwana, ulitelezeshewa rungu kwa babycare kwenye exhaust yako
Nilikuwa gambe mkuuUnakubali vipi kwenda kwa Mwanamke mjomba?
Kweli Gambe haina muda wa kuchunguza kabisa....Mambo ya gambe mkuu