cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,425
Mwaka huu nimeumwa mafua mabaya kwenye hiatoria ya maisha yangu nimeteseka two weeks nikishindwa kuhema, kifua kunibana Sana joto la mwili kuwa juu Sana plus homa Kali, hafu kifua kikavu sibanji Ila kukosa hewa tu Mara nyingi, mpaka nikawa siwezi kula balaa lingine na ma tonsils yakaanza, kichwa hakiponi hata nitumie Nini aisee Yale mafua kiboko kabisa. Naomba Mungu yasinirudie Tena kukosa pumzi ni kufa huku unajiona ka samaki aliyetolewa majini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app