Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,623
- 1,096
Huyu jamaa alikuwa anafanya biashara nyingi ila nilizokuwa nazifaham ilikuwa He he huyu alitengeneza tangazo la maziwa likionyesha madenti wa kike shule ya msingi wakikatika viuno. Tommy Tommy... . likafungwa. .Mashamba ya ngombe wa maziwe Kilolo na Makete badoyake?
KWA MATHIAS-KIMARA BUCHA.
Huyu Jamaa alikuwa tycoon kubwa la kichaga,ambaye alikuwa anahusika na biashara nyingi sanaa,Hakufilisiwa kwa issue ya Bomu Ubalozi wa marekani ingawa alihusika katika kujenga yale matanki ambayo mitungi ya gesi pamoja na milipuko ilijazwa ndani.Kuna Jamaa mmoja anafanya biashara Matumbi pale,ndio aliyetafuta hile mitungi ya gesi na kuwadirect kwa fundi mzuri ambaye anaweza kutengeneza matanki mazuri ambayo watabebea maji,basi MATHIAS ndiye aliyechaguliwa,Hata Gereji yake imekaa katika ukuta ambao hakuna mtu anayejua kinachoendelea ndani.
Mkuu hakuna kinachonisikitisha kama kile kituo cha Tip Top kilipobadilishwa jina na kuitwa Bakharesa yaani ni ujinga usio na maana kabisa isitoshe huyo Bakharesa amepakuta pale pakiwa na jina hilo hilo,na nashindwa kuelewa walitumia vigezo gani kubadili majina ya hivi vituo ambavyo vinabeba kumbukumbu na maana kubwa sana kwa Wakazi wa Manzese na Dar nzima,au ndio mambo ya mlungura yametembea.
The chances are, mzee akiondoka basi he will go with a big chunk of his projects.
Lijamaa linasema likifa, ile garage itajaa watoto wake wa nje........lakini halijawahi kutambulisha watoto wa nje ndani ya familia yake. Linasema limemalizana nao juu kwa juu, kwa maana ya kwamba watoto na amam zao wanajitegemea huko walipo.
Huyo ndo Thomas...ana Mercedes Benz 5 amepark nyumbani na garage zimeshajifia +other cars like 20, zote ame-park na zimeshakufa kwasababu hataki mtu aguse wala hataki kuuza.
Bulldog wewe wa kimara baruti PS mi wa mavurunza unayoongea kweli jamaa alikuwa anatu-influence tu jog naye then mkifika pale bucha mnakunywa tommy dairy hahaahah "maziwaaaaaa! Halisii .....ya tommy dairy...yana sukariii ..enhee! ....yana vitamin I....enheee!! ....yananenepesha mshirika utakuakua haahhaHuyu jamaa alikuwa anafanya biashara nyingi ila nilizokuwa nazifaham ilikuwa dairy na garage pale bucha.
Alikuwa anatusaidia kuchonga uwanja wetu wa mpira pale Kimara Baruti P/S.
Alikuwa anatuchukua kwa ajili ya kufanya matangazo ya maziwa yake huku tunafanya jogging.
Mazigazi; wewe wa kimara baruti PS mi wa mavurunza unayoongea kweli jamaa alikuwa anatu-influence tu jog naye then mkifika pale bucha mnakunywa tommy dairy hahaahah "maziwaaaaaa! Halisii .....ya tommy dairy...yana sukariii ..enhee! ....yana vitamin I....enheee!! ....yananenepesha mshirika utakuakua haahha[/QUOTE said:Daah umenikumbusha kweli nimepamisi mavurunza kwa juu mtaa wa matairini duuh longtime sijakanyaga pande hizo dar nimeimc sana.
Bado anatoa tako au ameacha?Dennis anaishi huku kwetu sa hivi
Tom ni mjasiriamali wa aina yake, anafanya biashara za 100M pia anafanya biashara za mia tano....mandazi, kwake yeye shio issue kabisaaaa!!!Bango lililoandikwa KWA THOMAS limeng'olewa wameweka jingine limeandikwa BUCHA. nimepita hapo dakika tano zilizopita.
Thomas si tycoon kama mchangiaji mmoja alivyosema ni mjasiriamali wa kawaida hata katika orodha ya matajiri wanaoongoza 100 hapa Tz hayumo.(wrong information is worse than being fool.)
Bado anatoa tako au ameacha?
Tom ni mjasiriamali wa aina yake, anafanya biashara za 100M pia anafanya biashara za mia tano....mandazi, kwake yeye shio issue kabisaaaa!!!
Mwanangu lazima tutakuwa tumesoma wote ule mchaka mchaka ulikuwa si mchezo! Tukimaliza tunaenda kupoza nae koo nyumbani kwake na maziwa safi kabisa.Huyu jamaa alikuwa anafanya biashara nyingi ila nilizokuwa nazifaham ilikuwa dairy na garage pale bucha.
Alikuwa anatusaidia kuchonga uwanja wetu wa mpira pale Kimara Baruti P/S.
Alikuwa anatuchukua kwa ajili ya kufanya matangazo ya maziwa yake huku tunafanya jogging.
Jamaa atakuwa na story nyingi sana juu ya hili sakata.huyu mzee thomas alikuwa mfanyabiashara mkubwa, alikuwa na hardware gerezani, pamoja na workshop ya kukunja bati za kutengeneza body za malory, hivyo alikuwa akifanya biashara pia ya vyuma. sasa katika hiyo karakana yake iliyoko gerezani, ndipo magaidi waliolipua ubalozi wa marekani walipopeleka kutengeneza vifaa vyao ambapo kulikuwa na mitungi ya ges ile mirefu ilichomelewa hapo.
mafundi waliofanya hiyo kazi hawakujua ni kwa ajili ya nini, wao walijua.ni kazi tu kama wanavyofanya nyingine. baada ya tukio la kulipuliwa ubaloz wa marekani kutokea, cia & fbi walipoanza kutrace vifaa vilitengenezewa wapi, ndipo ikajulikana vilipotengenezewa hapo kwa mzee thomas, hivyo akawa included, ji moja ya kesi ambazo zimechangia kuzorota kwa biashara zake amekuja kuonekana hanabhatia baada ya muda sana
sio Mathias ni Thomas.KWA MATHIAS-KIMARA BUCHA.
Huyu Jamaa alikuwa tycoon kubwa la kichaga,ambaye alikuwa anahusika na biashara nyingi sanaa,Hakufilisiwa kwa issue ya Bomu Ubalozi wa marekani ingawa alihusika katika kujenga yale matanki ambayo mitungi ya gesi pamoja na milipuko ilijazwa ndani.Kuna Jamaa mmoja anafanya biashara Matumbi pale,ndio aliyetafuta hile mitungi ya gesi na kuwadirect kwa fundi mzuri ambaye anaweza kutengeneza matanki mazuri ambayo watabebea maji,basi MATHIAS ndiye aliyechaguliwa,Hata Gereji yake imekaa katika ukuta ambao hakuna mtu anayejua kinachoendelea ndani.