GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,573
- 108,930
- Thread starter
- #61
Kila Mtu akifanya majukumu kwa Mahadili sehemu ya kazi yake tutafika mbali sana.
Naamanisha kujua wajibu wa Kazi yako na Wajibu wako kama mfanya kazi, iwe kwa sehemu yoyote ile Mahadili ni kitu muhimu.
Mkuu ni Maadili na siyo Mahadili kama ulivyoandika Wewe tafadhali. Tukipende sana Kiswahili chetu na tukienzi mno pia.