Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,942
Nambye mkuu
Nambye mkuu
Muda wote huwa najuaga wewe ni ke. I am surprised
Mkuu huku ngumu . huku marakibao tumekutana na vitisho vya hawa jamaa hasa wakilewa au wakikasirishwa kwenye ugonvi. Kuna mmoja aligonga gari nyingine pale manzese acha apige mikwara ooh "mnajua Mie ni nani " watu wakabaki wanamshangaa.Mwanamama Mmoja huko nchini Uingereza amempongeza sana Marehemu Mumewe hadi kumuita ' Shujaa ' hasa kwa Kitendo chake cha ' Kumficha ' kwa miaka 64 kuwa Yeye ( Mumewe ) alikuwa ni Mwana Usalama wa Taifa wa nchini Uingereza.
" Japo leo namzika Mume wangu na nilikuwa sijui muda wote kuwa ni mwana Usalama wa Taifa mpaka pale Wakubwa zake walipokuja hapa Msibani na Kunifahamisha hilo. Hata Wao wenyewe ( Mabosi zake ) walijua labda Mume wangu aliniambia kwakuwa nilikuwa Mkewe ila haikuwa hivyo na kiukweli japo Mume wangu amefariki ila kwa Kitendo chake cha Kunificha katika hili tena kwa miaka yake yote 64 aliyokuwa huko ( Usalama wa Taifa ) namuita ni Shujaa na kwakweli Idara ya Usalama wa Taifa ya Uingereza ilimpata Mtu mahiri, muhimu na Shujaa aliyeitendea vyema Kazi yake hiyo "
Je kwa Tanzania hili linawezekana? Je wana Usalama wa Taifa ( Eagle Wing House ) hasa hawa wa sasa achilia mbali wale ' Wastaafu ' wana uwezo na ' Ushujaa ' huu kama aliokuwa nao huyu Mwenzao kutoka nchini Uingereza kiasi kwamba wanaweza ' Kujificha ' si tu kwa Watu baki bali hata kwa Ndugu zao, Wake zao, Marafiki zao na Jamaa zao?
Nawasilisha.
Mkuu hizo ni gari za idara ya Uhamiaji..yaani Uhamiaji Tanzania..UT..au za Jeshi la Magereza..MT ....Magereza Tanzania.Kina gari nimeiona mkoa flani INA plate namba za UT 5688 je ni gari za usalama
wa taifa?
Nimewahi sana kujiuliza ile sura niliiona wapi, jamaa alikua anahudhuria sana kwenye kile kibanda umiza cha nyamalango na alikua mbishi sana kwenye mechi ila kiujumla he's good people..Hata yule big ambaye ni PSU wa Ngosha, miaka ile anasoma MALIMBE kitivo cha sheria hakuwahi kujisifu kabisa wala hatukumjua kabisaaa mpaka alipomaliza ndio tukaanza kumuona kwenye misafara ya wakubwa.
Kina gari nimeiona mkoa flani INA plate namba za UT 5688 je ni gari za usalama
wa taifa?
Kama mimi ukinikuta huwezi kunijua yani kwanza najichanganya na masela kinyama yani halafu nina udevu ka Osama! Sina makuu ila ukinzingua ntakuuliza "unan'jua mi ni nani?!!"Nilipoteana na rafiki yangu tangu 1998. Siku nakutana nae by appearance tu ya kimavazi nikajua jamaa ni TISS. Nilipomuhoji anapofanyia kazi licha ya kunidanganya kwa ulimi lakini macho yake yalimsaliti. At the end he accented to the truth kuwa ni kitengo attached ktk ofisi fulani hivi. Mi nashauri TISS Mpotezee hizo suti zenu. Jichanganyeni na kila aina ya vazi. Plus msiwe serious mkiwa kitaa kiasi mnapoteza hata ile social interaction.
Kama mimi ukinikuta huwezi kunijua yani kwanza najichanganya na masela kinyama yani halafu nina udevu ka Osama! Sina makuu ila ukinzingua ntakuuliza "unan'jua mi ni nani?!!"
Wazee wake walikuwa wanamuambia paskaliKama paschal mayalla aliweza kujua baba na mama yake ni wanaidara unategemea nn ?!!
Hapo kama sijakuelewa mkuu! Unapozungumzia CID hao ni kitengo kipo ndani ya Polis ambao wanadeal na criminal investigation achana na hao pia kuna IO Hawa pia wapo ndani ya polis na ndani ya jwtz intelligence officers...Huko Eagle Wing house; kuna watu wa aina mbili tu ambao ni "COVERT NA OVERT" hawa overt ndio wenye shida hiyo unayoizungumzia sasa mana nao wamegawanyika kuna "Suveilensi na ripota" shida kubwa hasa ipo kwa hao ripota na lau kidogo suveilensi ambao wamo na transpota huwa ni ngumu kuwajua na wanaheshimu sana kazi zao kuliko maripota lakini pia maripota nao wamefanikiwa kujizuia japo si wote!!
Covert huwezi kumjua hata kama ni baba yako na hapa ndo unakutana na madeep spy nk...
Lakini watu walioharibu jina la Usalama wa Taifa ni hawa walioko chini ya kitengo cha CID(criminal investigation department) au hupenda kuitwa "IO" yani Intelligence officer. Hawa ndo mademu zao wanatamba mtaani kuwa mabwana zao ni usalama wa taifa, na hawa ndo wakilewa wanajitapa mtaani kuwa "unajua mi ni nani" hawa ndo mnaowaona wengi huko mtaani mkidhani ni usalama wa taifa.
Key rule ya usalama wa taifa ni kutoatract tension, na hapo ni somo pana sana kwao so ni ngumu sana aisee!!!
Wazee wake walikuwa wanamuambia paskali
Ova
Na wewe je, umeweza kumficha mkeo? Au wazazi wako?Mwanamama Mmoja huko nchini Uingereza amempongeza sana Marehemu Mumewe hadi kumuita ' Shujaa ' hasa kwa Kitendo chake cha ' Kumficha ' kwa miaka 64 kuwa Yeye ( Mumewe ) alikuwa ni Mwana Usalama wa Taifa wa nchini Uingereza.
" Japo leo namzika Mume wangu na nilikuwa sijui muda wote kuwa ni mwana Usalama wa Taifa mpaka pale Wakubwa zake walipokuja hapa Msibani na Kunifahamisha hilo. Hata Wao wenyewe ( Mabosi zake ) walijua labda Mume wangu aliniambia kwakuwa nilikuwa Mkewe ila haikuwa hivyo na kiukweli japo Mume wangu amefariki ila kwa Kitendo chake cha Kunificha katika hili tena kwa miaka yake yote 64 aliyokuwa huko ( Usalama wa Taifa ) namuita ni Shujaa na kwakweli Idara ya Usalama wa Taifa ya Uingereza ilimpata Mtu mahiri, muhimu na Shujaa aliyeitendea vyema Kazi yake hiyo "
Je kwa Tanzania hili linawezekana? Je wana Usalama wa Taifa ( Eagle Wing House ) hasa hawa wa sasa achilia mbali wale ' Wastaafu ' wana uwezo na ' Ushujaa ' huu kama aliokuwa nao huyu Mwenzao kutoka nchini Uingereza kiasi kwamba wanaweza ' Kujificha ' si tu kwa Watu baki bali hata kwa Ndugu zao, Wake zao, Marafiki zao na Jamaa zao?
Nawasilisha.
Usalama Wa taifa Wa wingeleza ndio akina nani hao
Hivi huwa unaandika nini