GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,052
- 107,528
Mwanamama Mmoja huko nchini Uingereza amempongeza sana Marehemu Mumewe hadi kumuita ' Shujaa ' hasa kwa Kitendo chake cha ' Kumficha ' kwa miaka 64 kuwa Yeye ( Mumewe ) alikuwa ni Mwana Usalama wa Taifa wa nchini Uingereza.
" Japo leo namzika Mume wangu na nilikuwa sijui muda wote kuwa ni mwana Usalama wa Taifa mpaka pale Wakubwa zake walipokuja hapa Msibani na Kunifahamisha hilo. Hata Wao wenyewe ( Mabosi zake ) walijua labda Mume wangu aliniambia kwakuwa nilikuwa Mkewe ila haikuwa hivyo na kiukweli japo Mume wangu amefariki ila kwa Kitendo chake cha Kunificha katika hili tena kwa miaka yake yote 64 aliyokuwa huko ( Usalama wa Taifa ) namuita ni Shujaa na kwakweli Idara ya Usalama wa Taifa ya Uingereza ilimpata Mtu mahiri, muhimu na Shujaa aliyeitendea vyema Kazi yake hiyo "
Je kwa Tanzania hili linawezekana? Je wana Usalama wa Taifa ( Eagle Wing House ) hasa hawa wa sasa achilia mbali wale ' Wastaafu ' wana uwezo na ' Ushujaa ' huu kama aliokuwa nao huyu Mwenzao kutoka nchini Uingereza kiasi kwamba wanaweza ' Kujificha ' si tu kwa Watu baki bali hata kwa Ndugu zao, Wake zao, Marafiki zao na Jamaa zao?
Nawasilisha.
" Japo leo namzika Mume wangu na nilikuwa sijui muda wote kuwa ni mwana Usalama wa Taifa mpaka pale Wakubwa zake walipokuja hapa Msibani na Kunifahamisha hilo. Hata Wao wenyewe ( Mabosi zake ) walijua labda Mume wangu aliniambia kwakuwa nilikuwa Mkewe ila haikuwa hivyo na kiukweli japo Mume wangu amefariki ila kwa Kitendo chake cha Kunificha katika hili tena kwa miaka yake yote 64 aliyokuwa huko ( Usalama wa Taifa ) namuita ni Shujaa na kwakweli Idara ya Usalama wa Taifa ya Uingereza ilimpata Mtu mahiri, muhimu na Shujaa aliyeitendea vyema Kazi yake hiyo "
Je kwa Tanzania hili linawezekana? Je wana Usalama wa Taifa ( Eagle Wing House ) hasa hawa wa sasa achilia mbali wale ' Wastaafu ' wana uwezo na ' Ushujaa ' huu kama aliokuwa nao huyu Mwenzao kutoka nchini Uingereza kiasi kwamba wanaweza ' Kujificha ' si tu kwa Watu baki bali hata kwa Ndugu zao, Wake zao, Marafiki zao na Jamaa zao?
Nawasilisha.