Kwa swala la maandamano, nitaungana na serikali

Kwa swala la maandamano, nitaungana na serikali

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
16,466
Reaction score
42,603
Kumbukeni mnaotaka kuandamana Bado mnataka serikali ifanye yafwatayo Kwa watoto wenu.
1. January waende la kwanza.
2. January waende form one.
3. January matokeoa ya 7 yatoke.
4. January matokeo ya F4 yatoke
5. Mkale Xmas Moshi nk
6. Mfungue shule.
7. Muda huu std 4 wako mitihani ya taifa.
8. Mwezi march gvt iandae mitihani ya taifa ya form six
9. Rais atangaze Baraza jipya la mawaziri.
10. Aapishwe rais na serikali uanze kutekeleza ilani.

Haya mambo kumi yote mnataka muipe serikali presha halafu sisi wengine tukae kimya?

Tafakari !
 
Kwani serikali nayo itaandamana? 😳

IMG-20251022-WA0101.jpg
 
Kumbukeni mnaotaka kuandamana Bado mnataka serikali ifanye yafwatayo Kwa watoto wenu.
1. January waende la kwanza.
2. January waende form one.
3. January matokeoa ya 7 yatoke.
4. January matokeo ya F4 yatoke
5. Mkale Xmas Moshi nk
6. Mfungue shule.
7. Muda huu std 4 wako mitihani ya taifa.
8. Mwezi march gvt iandae mitihani ya taifa ya form six
9. Rais atangaze Baraza jipya la mawaziri.
10. Aapishwe rais na serikali uanze kutekeleza ilani.

Haya mambo kumi yote mnataka muipe serikali presha halafu sisi wengine tukae kimya?

Tafakari !

G3yddfFXMAAfm8w.jpeg
 
Maandamano hayatakuwepo na hayana faida kama ni reforms zitakuja ila serikali hailazimishwi hivyo.
 
Back
Top Bottom