sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 8,679
- 9,374
Hata kipindi cha WWI watu walisema mwisho umekaribia lakn mpka leo tupo tu
Hata kipindi cha WWI watu walisema mwisho umekaribia lakn mpka leo tupo tu
Kwa kweli yani ni basi sheria haziruhusu tuHiyo mambo inanikera sana ingekuwa uwezo wangu wote wanaofanya huo ujinga ni mwendo wa chombo cha moto tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe. Sasa hivi mambo yamekuwa wazi kwasababu ya mitandao, na imekuwa rahisi zaidi watu kuwasiliana. Ila hakuna jipya chini ya juaNipo duniani muda mrefu naweza kujiita muhenga ila hakuna ulichoandika ambacho hakikuwepo au kilikua ajabu kama unavyotaka kutuaminisha
Hahaha sawaHata kipindi cha WWI watu walisema mwisho umekaribia lakn mpka leo tupo tu
Kumonitor mawasiliano ni kujitakia pressure. Mwache mtu akupende yeye kama yeye..ukiona umeanza kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wako ujue hakuna penzi hapo mnapoteza muda.Dah ni hatari yani ila atakutana na eviction notice maana mawasiliano nimeya monitor
Poa poa mkuu
Nipo duniani muda mrefu naweza kujiita muhenga ila hakuna ulichoandika ambacho hakikuwepo au kilikua ajabu kama unavyotaka kutuaminisha
Time flies, Hatuwez kusimama pale pale Ushoga na umalaya ndio biashara kongwe kuliko zoteVipi kuhusu hii?
Suala la ushoga na usagaji...ilikuwa huna hata ujasiri wa kutamka maneno hayo lakini now ni kitu cha kawaida, tumekubaliana na hali na hatuoni tatizo tena tuna msemo sikuhizi "kila mtu apambane na hisia zake"!! .
Ha ha ha povu sasa iloTatizo wenye ndoa wanajiona wao ndio wamepatia kwa kuolewa na kujifanya wanaumiliki wa mwanaume zaidi hata ya Mungu. Nyie wadada mlioolewa kwann mna ubinafsi hivyo??? Wakati Mungu alivyokuwa anawapa nguvu akina Ibrahim na Suleiman kuwa na wanawake wengi hakuwa anaona???
Wanaume wenyewe wachache hao hao mapadre hao hao mashoga sasa waliokosa waende wapi??
Hahahaha cyo povu mkuu ndio ukweli wenyewe laiti wangechukulia kawaida watu wasingeuana. Mbona wazee wa zamani walikuwa na mwanamke zaidi ya mmoja lakini hawakuwa wanauana?? Au wanawake wa zamani hawakuwa wanapenda??? Tatizo ni umimi.
Na kama kwenye hiyo ndoa hakuna amani afanyeje?Mtu akioa akae atulie ukiolewa ukae utulie sio unahangaika kama naniliu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufuatilia ni muhimu kwa mapenzi ya kimjinj mjini. Au hujui kinachoumiza nafsi ni kujua ulifanywa mjinga for all that time you been together?Kumonitor mawasiliano ni kujitakia pressure. Mwache mtu akupende yeye kama yeye..ukiona umeanza kufuatilia mawasiliano ya mpenzi wako ujue hakuna penzi hapo mnapoteza muda.
Haya lakini ni kama unaishi kwa machale, taabu yote ya nini?Kufuatilia ni muhimu kwa mapenzi ya kimjinj mjini. Au hhujui kinachoumiza nafsi ni kujua ulifanywa mjinga for all that time you been together?
Sioni tabu nipo comfortable na nshajizoelea tu. Kama hujawahi kukutwa na bw. Pepsi ndio huwezi elewa, mwanamke wa kibongo ata akiishi mtaa wa tatu toka ulipo ni kirambasiHaya lakini ni kama unaishi kwa machale, taabu yote ya nini?