Kwa style hii ya mahusiano michepuko itadumu milele

Sioni tabu nipo comfortable na nshajizoelea tu. Kama hujawahi kukutwa na bw. Pepsi ndio huwezi elewa, mwanamke wa kibongo ata akiishi mtaa wa tatu toka ulipo ni kirambasi
Sio mwanamke tu hata mwanaume. Kila la heri na stress za kujitakia. Teh
 
mchepuko lake ni kutaka mke ashindwe kuendesha ndoa ili mke aachike aingie yeye ili hali akijua kabisa hana mapenzi ya kweli kwa jamaa, na hawezi lea watoto wa mke lakini kujishaua kuwa anampenda.. kingine wanaume wachache hupenda ukweli ukweli michepuko wengi huwa wanafanya kifaa cha kupunguzia nyege na kuwahadaa kuwa wanawapenda...

suluhu:

fanya sala muombee ila usihukumu:-

akili njema acha kupanic

mke simama katika nafasi yako usiwe sababu ya kusababisha mumeo achepuke .. mwache achepuke kwa utahi wake mwenyewe..

timiza majukumu yako ndani kama ipasavyo punguza kelele zisizo kuwa na ulazima ..

hakikisha hutoki humo ndani kwa ujinga wa mumeo ukaenda kutesa watoto huko mwache aondoke yeye..

akiondoka fuata vyombo vya sheria upate matunzo ya watoto hakuna haja ya kususa na kujifanya wewe unajiweza mama .. hakuna tunzo kwenye hili tena jamii hasa ya kiafrika utanyooshewa kidole na kuonekana hufai komaa hakikisha analipa bills za watoto wake bila ya huruma... ila usiwe wewe ni sababu lakini...
 
Sio mwanamke tu hata mwanaume. Kila la heri na stress za kujitakia. Teh
Hahahahah af demi ww, acha uoga bhana...Stress zipo tu ila nadhani mbaya zaidi ni za kufanyiwa vituko bila kujua chanzo ni nini. Love grows and dies but is better to know when its about to die
 
Nipo duniani muda mrefu naweza kujiita muhenga ila hakuna ulichoandika ambacho hakikuwepo au kilikua ajabu kama unavyotaka kutuaminisha
tofauti siku hizi wanafanya live kabisa bila woga wala aibu.. na mnaenda mbali zaidi kupeleka hata watoto na kuwaambia wawaite michepuko yenu anti au uncle
 
Ukweli mtupu yani, kama juzi kuna ****** nimekuta anamtongoza demu wangu ilihali yeye ni mume wa mtu na ana watoto. Anamng'ang'aniza kabisa kuwa eti anampenda sana na wao ni watu wazima amkubalie tu. Ni siku nyingi amempenda na mke wake wamezinguana so asiwe na hofu. Uzuri demu wangu si mtu wa tamaa alimchomolea mbavuni!

Nikajiuliza hivi watu wengine huwa wana akili gani yani? Sasa mtu una mkeo ulieoa kwa harusi mbele ya kadamnasi..Unaazaje kujifanya umependa nje? Ina maana unamkana mkeo sasa?
Unafikiri angemkubalia ungejua?
 
Yote hayo yaliuwepo binti yangu.

Ndio maana wahenga wakasema Kitanda hakizai haramu.

Siku hizi mitandao mingi.
 
HALAFU HAO WAKE ZA WATU WANAOCHEPUKA WAKIWA NA HAWARA ZAO WANAKUWA NA BIDII YA MAHABA HATARI.. UTAPEWA MIKITO MPAKA UTASHANGAA

mimi sijawahi kutembea nao, nasikia sikia tu.
 
Hahahahah af demi ww, acha uoga bhana...Stress zipo tu ila nadhani mbaya zaidi ni za kufanyiwa vituko bila kujua chanzo ni nini. Love grows and dies but is better to know when its about to die
Acha hizo..ishi kawaida.
 
Ukweli mtupu yani, kama juzi kuna ****** nimekuta anamtongoza demu wangu ilihali yeye ni mume wa mtu na ana watoto. Anamng'ang'aniza kabisa kuwa eti anampenda sana na wao ni watu wazima amkubalie tu. Ni siku nyingi amempenda na mke wake wamezinguana so asiwe na hofu. Uzuri demu wangu si mtu wa tamaa alimchomolea mbavuni!

Nikajiuliza hivi watu wengine huwa wana akili gani yani? Sasa mtu una mkeo ulieoa kwa harusi mbele ya kadamnasi..Unaazaje kujifanya umependa nje? Ina maana unamkana mkeo sasa?
Kaka sema usijiamini hawa viumbe wana tamaa sana nakwambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote hayo yaliuwepo binti yangu.

Ndio maana wahenga wakasema Kitanda hakizai haramu.

Siku hizi mitandao mingi.
"Kitanda hakizai haramu" mi napenda kujua hikma iliyomo kwenye hii kauli kwa maana siku hizi wengine wanapigwa kwenye vichaka, beach, kushikishwa ukuta na vyoo vya kumbo za starehe, kwenye gari na kadhalika.

  
 
Naweza kusema hivi:
Umalaya, uasherati, uzinzi, uhuni, ushoga, usenge, na dhambi zoote zinazofanana au kuhusiana na ngono, si dhambi mpya leo, zilikuwepo na ndio maana Mungu akaziwekea makatazo na Amri, katika Bibilia agano la kale na jipya! Lakini haimaanishi kuwa kwa sababu ni dhambi imekuwako tokea zamani, na inatendwa na watu wengi basi si dhambi tena. Tofauti ya leo na enzi hizo za miaka/karne za nyuma ni kwamba ueneaji wa habari kwamba jambo fulani limefanyika/limetokea mara kadhaa kuliko lingine ( incidents and frequency of occurrence) haukuwa kama hivi leo zama hizi za TEHAMA.
Pia idadi ya watu (population) ya wakati huo na ya sasa ni tofauti. Kadiri pool/number of people inavyokuwa kubwa ndivyo random probability ya case (common/natural phenomenon) fulani kutokea inakuwa kubwa. And the vice versa. By this, I am not justifying the immoral relationships in our today's society but the stereotyping and whistles blown about this scandals should remember these facts!
 
Back
Top Bottom