Kwa sasa Windows 10 hatufai watumiaji wa crack software.

Kwa sasa Windows 10 hatufai watumiaji wa crack software.

Dah afadhali, maana nilikua natafuta software ya kuinhibit underground updates za w10..

Zinakula sana mb
- Hapana
- Fanya hivi

#1. Fanya clean installation ya windows 10,

#2. Usifanye connection ya internet kwanza

#3. Run hii, DWS Lite, software na select
- Download hapa: https://github.com/Nummer/Destroy-Windows-10-Spying/releases
View attachment 1056788
- Ingia hapo kwenye settings, kisha rudi kwenye main Tab, na click hapo.
View attachment 1056791

#4. Activate windows kwa kutumia hii software, @ Re-Loader v2.4 ( Hii inauwezo wa kufanya activation wa matoleo yote ya windows pamoja na MS office )

#5. Weka antivirus yeyote utakayopenda, weka programs zako na endelea kutumia windows 10 bila shida.

Faida zingine za hii software:
- Utaweza kuokoa kiasi kikubwa cha DATA, sababu ukiwa na windows 10 na ukawa connected kwenye internet, GB 5 kuisha haichukui muda kutokana na windows updates na download zingine ambazo wewe huwezi monitor, ila hii software kwa kuwa ina modify pia HOSTS file, basi hizo downloads zinakuwa hazipo.

Sent by anonymous user
 
- Hapana
- Fanya hivi

#1. Fanya clean installation ya windows 10,

#2. Usifanye connection ya internet kwanza

#3. Run hii, DWS Lite, software na select
- Download hapa: https://github.com/Nummer/Destroy-Windows-10-Spying/releases
View attachment 1056788
- Ingia hapo kwenye settings, kisha rudi kwenye main Tab, na click hapo.
View attachment 1056791

#4. Activate windows kwa kutumia hii software, @ Re-Loader v2.4 ( Hii inauwezo wa kufanya activation wa matoleo yote ya windows pamoja na MS office )

#5. Weka antivirus yeyote utakayopenda, weka programs zako na endelea kutumia windows 10 bila shida.

Faida zingine za hii software:
- Utaweza kuokoa kiasi kikubwa cha DATA, sababu ukiwa na windows 10 na ukawa connected kwenye internet, GB 5 kuisha haichukui muda kutokana na windows updates na download zingine ambazo wewe huwezi monitor, ila hii software kwa kuwa ina modify pia HOSTS file, basi hizo downloads zinakuwa hazipo.
Asante sana mkuu, umenisaidia sana kwa kweli..

troublemaker 2019. all right reserved.
 
Wakuu acheni mambo ya ku crack mwaka huu wa 2019. Kama una ela, ingia tu Ebay nunua key za windows 10 unaweza kupata hadi kwa dollar 3 (hizi zinakuwa bulk keys au keys zilizotoka kwenye Pc za windows 7 zilizotupwa) na zinafanya kazi fresh hamna matatizo tena unaziregister online na Microsoft wanazikubali. Mimi maswala ya KM SPico,sijui crack nimesha yasahau sasa hivi nina Update laptop yangu bila pressure, wala kuzima kitu.
 
Mkuu ishu sio tu Windows bali hiyo window ndio inaondoa software nyingine ambazo ni cracked
Wakuu acheni mambo ya ku crack mwaka huu wa 2019. Kama una ela, ingia tu Ebay nunua key za windows 10 unaweza kupata hadi kwa dollar 3 (hizi zinakuwa bulk keys au keys zilizotoka kwenye Pc za windows 7 zilizotupwa) na zinafanya kazi fresh hamna matatizo tena unaziregister online na Microsoft wanazikubali. Mimi maswala ya KM SPico,sijui crack nimesha yasahau sasa hivi nina Update laptop yangu bila pressure, wala kuzima kitu.

troublemaker 2019. all right reserved.
 
Zinarun software zote za windows vizuri?

troublemaker 2019. all right received.
Hapana mzee, linux ni os ambayo makampuni mengi huwa hawawekezi kiasi kikubwa.

yaani kama ni mpenzi wa magemu linux haifai.
 
Mkuu crack.mim natumia vizuri

Hapo fanya mawili

Moja disable windows defender kabisa isifanye kazi

Au add exclusion hizo file ambazo hutak defender iziguse

Simple lyk that.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
I second this mimi huwa nafanya hivi.

Nakuwa na folder langu maalumu lets say naliita Games hilo folder ndani yake makorokoro yote yanakaa humo ya torrents na site nyengine kama oceanofgames na wengineo.

Then naenda kwenye windows defender naiambia isiguse hilo folder, so inascan kwengine tu kasoro humo.

Kuieka off defender sio jambo la busara, vile vile kuondoka win 10 kuna games zitapungua perfomance, ila microsoft wanaleta dx12 kwenye windows 7, ikikamilika pengine win 7 nayo ita catchup kiasi fulani na windows 10 kwenye games.
 
kuna open source os moja ivi inaitwa ReactOS ambayo inarun .exe files inatazamiwa kuwa kuja kuwa ni mbadala wa microsoft windows, kwa sasa naona kama ipo underdevelopment bado haipo fresh kabisa ila ina run exe files, hii maana yake siku za mbele hatutotumia windows tena kama wakizidi kutubana kiasi hicho.
 
kuna open source os moja ivi inaitwa ReactOS ambayo inarun .exe files inatazamiwa kuwa kuja kuwa ni mbadala wa microsoft windows, kwa sasa naona kama ipo underdevelopment bado haipo fresh kabisa ila ina run exe files, hii maana yake siku za mbele hatutotumia windows tena kama wakizidi kutubana kiasi hicho.
Mkuu emulation game la kurun kwenye celeron litahitaji i7 na usitegemee game lolote kubwa kurun humo. Hata android inaweza ikarun .exe hilo sio tatizo, tatizo ni nguvu ya kuweza ku emulate hizo exe programs.
 
Mkuu emulation game la kurun kwenye celeron litahitaji i7 na usitegemee game lolote kubwa kurun humo. Hata android inaweza ikarun .exe hilo sio tatizo, tatizo ni nguvu ya kuweza ku emulate hizo exe programs.
Yeah mkuu ReactOS naona kwa sasa bado ipo Alpha naona bado ipo kwenye development haijafika hata Beta
naona ipo v0.4.11
 
- Hapana
- Fanya hivi

#1. Fanya clean installation ya windows 10,

#2. Usifanye connection ya internet kwanza

#3. Run hii, DWS Lite, software na select
- Download hapa: https://github.com/Nummer/Destroy-Windows-10-Spying/releases
View attachment 1056788
- Ingia hapo kwenye settings, kisha rudi kwenye main Tab, na click hapo.
View attachment 1056791

#4. Activate windows kwa kutumia hii software, @ Re-Loader v2.4 ( Hii inauwezo wa kufanya activation wa matoleo yote ya windows pamoja na MS office )

#5. Weka antivirus yeyote utakayopenda, weka programs zako na endelea kutumia windows 10 bila shida.

Faida zingine za hii software:
- Utaweza kuokoa kiasi kikubwa cha DATA, sababu ukiwa na windows 10 na ukawa connected kwenye internet, GB 5 kuisha haichukui muda kutokana na windows updates na download zingine ambazo wewe huwezi monitor, ila hii software kwa kuwa ina modify pia HOSTS file, basi hizo downloads zinakuwa hazipo.
Asante mkuu nimeshusha windows 10 nyingine ya january mwaka huu.

Kisha nimefanya hivi.. naona sasa itakuwa afadhali.

troublemaker 2019.
 
- Hapana
- Fanya hivi

#1. Fanya clean installation ya windows 10,

#2. Usifanye connection ya internet kwanza

#3. Run hii, DWS Lite, software na select
- Download hapa: https://github.com/Nummer/Destroy-Windows-10-Spying/releases
View attachment 1056788
- Ingia hapo kwenye settings, kisha rudi kwenye main Tab, na click hapo.
View attachment 1056791

#4. Activate windows kwa kutumia hii software, @ Re-Loader v2.4 ( Hii inauwezo wa kufanya activation wa matoleo yote ya windows pamoja na MS office )

#5. Weka antivirus yeyote utakayopenda, weka programs zako na endelea kutumia windows 10 bila shida.

Faida zingine za hii software:
- Utaweza kuokoa kiasi kikubwa cha DATA, sababu ukiwa na windows 10 na ukawa connected kwenye internet, GB 5 kuisha haichukui muda kutokana na windows updates na download zingine ambazo wewe huwezi monitor, ila hii software kwa kuwa ina modify pia HOSTS file, basi hizo downloads zinakuwa hazipo.

mkuu naomb unisaidie link iliniipate iyo Re-loader
 
mkuu nmefany vyote apo ila nakwama nmeinstall game inatak ni install NET framework inagoma naomb unielekeze
 
Back
Top Bottom