Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,512
Nimekuja kugundua hili huku nishachelewa aiseeh. Mana nilipata malalamiko kwa watu kama wawili kuwa software nilizowapa zimefutika hivyo niwafanyie mpango niwape tena. Sasa na mimi vitu vingi kwenye pc yangu nilikuwa sijatumia kwa muda kutokana na kuwa busy kidogo.
Lakini kila nilipokuwa nikiwasha pc ikawa inaniletea kuwa kuna malware Windows defender imewagundua so inawaondoa. Nikawa napuuzia, nikawa najua tu huenda ni hizi software zangu. Kwa hiyo nikawa naiweka off real time protection, matokeo yake kila nikiwasha tena pc windows defender inajiweka on tena huku inarudia kuniletea ule ule ujumbe kama kawa nikawa naizima tu tena. Leo nakuja kushtuka baadhi ya shortcut kwenye windows hazionekani. Si ndio ikabidi kuchunguza nakuta zote zimeshaliwa.
Ndio nikakumbuka kuwa kuna uzi humu uliwahi kuongelea kuhusu Update ya windows 10 hivi karibuni itaanza kuondoa software zote ambazo publisher hawajulikani.
Daaah, hapa nalazimika kurudi tena windows 7 tu. But nishatiwa hasara ya kudownload tena file upya.
Cc Chief-Mkwawa imekaaje hii ndugu?
troublemaker 2019. all right reserved
Lakini kila nilipokuwa nikiwasha pc ikawa inaniletea kuwa kuna malware Windows defender imewagundua so inawaondoa. Nikawa napuuzia, nikawa najua tu huenda ni hizi software zangu. Kwa hiyo nikawa naiweka off real time protection, matokeo yake kila nikiwasha tena pc windows defender inajiweka on tena huku inarudia kuniletea ule ule ujumbe kama kawa nikawa naizima tu tena. Leo nakuja kushtuka baadhi ya shortcut kwenye windows hazionekani. Si ndio ikabidi kuchunguza nakuta zote zimeshaliwa.
Ndio nikakumbuka kuwa kuna uzi humu uliwahi kuongelea kuhusu Update ya windows 10 hivi karibuni itaanza kuondoa software zote ambazo publisher hawajulikani.
Daaah, hapa nalazimika kurudi tena windows 7 tu. But nishatiwa hasara ya kudownload tena file upya.
Cc Chief-Mkwawa imekaaje hii ndugu?
troublemaker 2019. all right reserved