Kwa sasa Windows 10 hatufai watumiaji wa crack software.

Kwa sasa Windows 10 hatufai watumiaji wa crack software.

Sema sijuizi sina matumizi sana ya mhimu na pc, na nilivamiwa na virus wanaokula setup tuu yani setup ikiwa uchi ina liwa ata iwe na gb 1 ina baki 0kb

Sent by anonymous user
Hili tatizo lilinikuta juzi tu, hadi nikaamua kufanya clean installation ya Windows 10, yaani setup yoyote yenye extension ya .exe ukiweka tu, inakuwa 0kb, the only way kusave ni kuweka kwenye iso, maana hata ukizip muda unaextract tu kabla hujainstall setup inaliwa
 
Clean installation unamaanisha nini? Kuipiga tena au! Naogopa kuipiga windo maana kunasoftware hiyo nililipa 40 kupata licence yake,nikiifikiria roho inaniuma
Hili tatizo lilinikuta juzi tu, hadi nikaamua kufanya clean installation ya Windows 10, yaani setup yoyote yenye extension ya .exe ukiweka tu, inakuwa 0kb, the only way kusave ni kuweka kwenye iso, maana hata ukizip muda unaextract tu kabla hujainstall setup inaliwa

Sent by anonymous user
 
daaaah,


Sema kuna linux distro inaitwa parrot. Iko frxh kinyama na ina support kubwa. Kutumia OS ambazo hazina support ni dangerous sana unless uwe unatumia pc yako kwa vitu unofficial, otherwise utakua vulnerable kwa attacks nyng. Pia hzo cracked softwares sio za kuzoea sana coz nyng huja na payloads na mwisho wa siku unajikuta pc yako ipo kwenye botnet ya majaa fln. So take care before you install any cracked program. Windows 10 inafanya hvo coz wanakulinda ww
what if nacrack mwenyewe.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Clean installation unamaanisha nini? Kuipiga tena au! Naogopa kuipiga windo maana kunasoftware hiyo nililipa 40 kupata licence yake,nikiifikiria roho inaniuma

Sent by anonymous user
Hapo tafuta anti-virus tu hamna namna, maana mimi niliamua kufanya hivyo baada ya kuona setup zangu muhimu zote zimeliwa, na kila nikiweka flash au external hard disk kama inasetup pia inaliwa,
 
Nisipo activate hii window 10 kuna madhara yoyote kwa pc?
 
Sawa sawa
Hapo tafuta anti-virus tu hamna namna, maana mimi niliamua kufanya hivyo baada ya kuona setup zangu muhimu zote zimeliwa, na kila nikiweka flash au external hard disk kama inasetup pia inaliwa,

Sent by anonymous user
 
Sawa sawa
Hapo tafuta anti-virus tu hamna namna, maana mimi niliamua kufanya hivyo baada ya kuona setup zangu muhimu zote zimeliwa, na kila nikiweka flash au external hard disk kama inasetup pia inaliwa,

Sent by anonymous user
 
pole mkuu tupo wengi...kitu Syswin ni hatar kwa afya yako na PC yako pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu, mim chanzo ilikuwa ni flash ya mtu nilihamisha setup sasa ikaja na hicho kifile, sasa nahis alikifungua kupitia pc yangu sababu alisema kwake hakifutiki hata uformat kwa command kinarudi, alivyofanya hvyo tu ndo kosa
 
pole mkuu tupo wengi...kitu Syswin ni hatar kwa afya yako na PC yako pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu, mim chanzo ilikuwa ni flash ya mtu nilihamisha setup sasa ikaja na hicho kifile, sasa nahis alikifungua kupitia pc yangu sababu alisema kwake hakifutiki hata uformat kwa command kinarudi, alivyofanya hvyo tu ndo kosa
Ni kweli kabisa hili ndio janga kuu...

Mimi najua niliwatoa kwenye pc ya flani mkoani, hizi za studio na ni kasahau kuiformat.

Sasa kompyuta tu ni hivi je zile flash zetu chini ya kitovu tunavozichomeka kwenye port za mademu... Mungu atusaidie sana

Sent by anonymous user
 
we jamaa wewe.
Ni kweli kabisa hili ndio janga kuu...

Mimi najua niliwatoa kwenye pc ya flani mkoani, hizi za studio na ni kasahau kuiformat.

Sasa kompyuta tu ni hivi je zile flash zetu chini ya kitovu tunavozichomeka kwenye port za mademu... Mungu atusaidie sana

Sent by anonymous user

troublemaker 2019. all right reserved.
 
Hili tatizo lilinikuta juzi tu, hadi nikaamua kufanya clean installation ya Windows 10, yaani setup yoyote yenye extension ya .exe ukiweka tu, inakuwa 0kb, the only way kusave ni kuweka kwenye iso, maana hata ukizip muda unaextract tu kabla hujainstall setup inaliwa
Io inshu ina solvika mkuu.. Very simple

Kuna virus anaitwa "syswin" ndo anafanya io kazi.. Chakufanya nenda kwenye viwe afu show hidden folders then nenda disk C kuna folder linaitwa "Boot" utamkuta umo na ukimfuta umemaliza hatakusumbua tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah, hapa nalazimika kurudi tena windows 7 tu. But nishatiwa hasara ya kudownload tena file upya.
- Hapana
- Fanya hivi

#1. Fanya clean installation ya windows 10,

#2. Usifanye connection ya internet kwanza

#3. Run hii, DWS Lite, software na select
- Download hapa: https://github.com/Nummer/Destroy-Windows-10-Spying/releases
1553844365919.png

- Ingia hapo kwenye settings, kisha rudi kwenye main Tab, na click hapo.
1553844417718.png


#4. Activate windows kwa kutumia hii software, @ Re-Loader v2.4 ( Hii inauwezo wa kufanya activation wa matoleo yote ya windows pamoja na MS office )

#5. Weka antivirus yeyote utakayopenda, weka programs zako na endelea kutumia windows 10 bila shida.

Faida zingine za hii software:
- Utaweza kuokoa kiasi kikubwa cha DATA, sababu ukiwa na windows 10 na ukawa connected kwenye internet, GB 5 kuisha haichukui muda kutokana na windows updates na download zingine ambazo wewe huwezi monitor, ila hii software kwa kuwa ina modify pia HOSTS file, basi hizo downloads zinakuwa hazipo.
 
Ni kweli kabisa hili ndio janga kuu...

Mimi najua niliwatoa kwenye pc ya flani mkoani, hizi za studio na ni kasahau kuiformat.

Sasa kompyuta tu ni hivi je zile flash zetu chini ya kitovu tunavozichomeka kwenye port za mademu... Mungu atusaidie sana

Sent by anonymous user
Io inshu ina solvika mkuu.. Very simple

Kuna virus anaitwa "syswin" ndo anafanya io kazi.. Chakufanya nenda kwenye viwe afu show hidden folders then nenda disk C kuna folder linaitwa "Boot" utamkuta umo na ukimfuta umemaliza hatakusumbua tena...

Sent using Jamii Forums mobile app
na broken setup zinaweza kuwa recovered mkuu!?
Halafu effect nyingine niliyoipata, huyo virus alikuwa anaslow down performance ya pc, ukiangalia taskmgr unakuta ram cpu vina run kwa +90%
 
Back
Top Bottom