Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Hali si Hali nchini Tanzania.
Kwa sasa bila VPN huwezi kupata Instagram wala Mtandao wa X.
Hali hii imeanza kujitokeza leo baada ya Mtanzania aishiye Marekani Mange Kimambi kuanza kuweka hadharani ushahidi wa kutisha namna Rais wa Tanzania na watu wake wa karibu wanavyolifisadi Taifa.
Inaelezwa kuwa, tangu Serikali hii kuingia madarakani kuna madili makubwa sana yanafanyacna Familia ya Rais Samia na watu wachache wanaomzunguka.
Inaweza wakasema wanafanya hayo kwa sababu ya shambolic ya Akaunti za Serikali na Taasisi zake ila inaelezwa kuwa ukweli ni kwamba wanafungia Mitandao ya Kijamii kuwazuia Watanzania wasione nyaraka zinazorushwa zinavyoonesha Nchi inavyotafunwa na watu wachache.
Kwa sasa bila VPN huwezi kupata Instagram wala Mtandao wa X.
Hali hii imeanza kujitokeza leo baada ya Mtanzania aishiye Marekani Mange Kimambi kuanza kuweka hadharani ushahidi wa kutisha namna Rais wa Tanzania na watu wake wa karibu wanavyolifisadi Taifa.
Inaelezwa kuwa, tangu Serikali hii kuingia madarakani kuna madili makubwa sana yanafanyacna Familia ya Rais Samia na watu wachache wanaomzunguka.
Inaweza wakasema wanafanya hayo kwa sababu ya shambolic ya Akaunti za Serikali na Taasisi zake ila inaelezwa kuwa ukweli ni kwamba wanafungia Mitandao ya Kijamii kuwazuia Watanzania wasione nyaraka zinazorushwa zinavyoonesha Nchi inavyotafunwa na watu wachache.