Kwa Ripoti ya Gwajima, Hatuna Waandishi wa habari Tanzania. Hao akina 'Mayalla' ni njaa tu kweli

Kwa Ripoti ya Gwajima, Hatuna Waandishi wa habari Tanzania. Hao akina 'Mayalla' ni njaa tu kweli

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
588
Reaction score
904
Wasalaam

Sio nia yangu kuwadharau lakini ukweli ukinambia umesomea mambo au Taaluma ya uandishi wa habari hasa hapa kwetu nakudharau sana

Ndio maana ni kitu kila mtu anaweza kufanya...wengi wanafanya kazi halafu ndio wanaenda kusoma...haya naongelea kwa muktadha wa nchini kwetu

Ni tofauti na nchi za wenzetu...juzi Gwajima katoa hoja nzito zinazogusa taifa...ajabu vyombo vimeanza kuripoti majibu ya hoja yanayoitetea serikali bila kugusia kiini

Ajabu zaidi wakati akina Balile wakisema sasa wako huru kuliko awamu zilizopita...ni sasa wanaonekana wafungwa wa kutia huruma kabisa

Don't waste your time in sijui Mass Journalism nk
 
Free Speech is a corner stone of your desired form of Critical Journalism.

And if you believe that, the Bishop's report is impeccable, and free of nefarious intents, then you also have a very big problem.​
Kabisa...wengi huingia huko kwa kuwaona wale watangazaji wa cinema zetu au wachambuzi wa michezo Bongo
 
Wasalaam

Sio nia yangu kuwadharau lakini ukweli ukinambia umesomea mambo au Taaluma ya uandishi wa habari hasa hapa kwetu nakudharau sana

Ndio maana ni kitu kila mtu anaweza kufanya...wengi wanafanya kazi halafu ndio wanaenda kusoma...haya naongelea kwa muktadha wa nchini kwetu

Ni tofauti na nchi za wenzetu...juzi Gwajima katoa hoja nzito zinazogusa taifa...ajabu vyombo vimeanza kuripoti majibu ya hoja yanayoitetea serikali bila kugusia kiini

Ajabu zaidi wakati akina Balile wakisema sasa wako huru kuliko awamu zilizopita...ni sasa wanaonekana wafungwa wa kutia huruma kabisa

Don't waste your time in sijui Mass Jouurnalism nk
Nakukumbusha tu,
chawa wote maarufu na maalumu tanzania wanatoka kwenye media.
 
Wasalaam

Sio nia yangu kuwadharau lakini ukweli ukinambia umesomea mambo au Taaluma ya uandishi wa habari hasa hapa kwetu nakudharau sana

Ndio maana ni kitu kila mtu anaweza kufanya...wengi wanafanya kazi halafu ndio wanaenda kusoma...haya naongelea kwa muktadha wa nchini kwetu

Ni tofauti na nchi za wenzetu...juzi Gwajima katoa hoja nzito zinazogusa taifa...ajabu vyombo vimeanza kuripoti majibu ya hoja yanayoitetea serikali bila kugusia kiini

Ajabu zaidi wakati akina Balile wakisema sasa wako huru kuliko awamu zilizopita...ni sasa wanaonekana wafungwa wa kutia huruma kabisa

Don't waste your time in sijui Mass Journalism nk
Pascal Mayalla
 
Wasalaam

Sio nia yangu kuwadharau lakini ukweli ukinambia umesomea mambo au Taaluma ya uandishi wa habari hasa hapa kwetu nakudharau sana

Ndio maana ni kitu kila mtu anaweza kufanya...wengi wanafanya kazi halafu ndio wanaenda kusoma...haya naongelea kwa muktadha wa nchini kwetu

Ni tofauti na nchi za wenzetu...juzi Gwajima katoa hoja nzito zinazogusa taifa...ajabu vyombo vimeanza kuripoti majibu ya hoja yanayoitetea serikali bila kugusia kiini

Ajabu zaidi wakati akina Balile wakisema sasa wako huru kuliko awamu zilizopita...ni sasa wanaonekana wafungwa wa kutia huruma kabisa

Don't waste your time in sijui Mass Journalism nk
Ndio moja kati ya sababu kwanini tanzanianni maskini.
 
Back
Top Bottom