Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,135
Hayo ni maoni yako ila kundi linalompenda nikubwa sana kuliko uzaniavyo, usije ukawa unashinda hapa jf na ikawa ndio tathimin yako kuwa Bw Pombe hapendwi.Kwa sisi wafanyakazi tunampenda sana mfano tu mdogo wakubwa wengi wa Idara zama zilee walikuwa ni kama miungu watu ila sasa wamekuwa wa kaida sana tuu.na wamekuwa hata ushauri wakiomba kwa wafanyakazi wa chini, Kikubwa usijidanganye wala kudanganywa na story za vijiweni.
Piga kazi mkuu kila kitu utakiona sawa tu.
Mkuu, sababu aliyotoa NI MTAZAMO TU, ni kubwa sana, labda kama wewe si mtumishi wa uma au ni kigogo ama una mahusiano makubwa na vigogo.Ni sababu hii tu mkuu au kuna zingine?
Duh! Kwahiyo hivi sasa usipokuwa na Phd, elimu yako ni kiduchu? !hahaha mkuu una utani wa ngumi, si kweli kwamba naomba kireja reja, ila ni kweli nina elimu kiduchu maana sina PhD. Kwa maana hiyo tu ya kutokuwa na PhD na si kingine.
HahahaaaaaaaaaaaaaaaaWewe koma kunizoea, tafuta mtu wa kumzoea sio mimi
Kaz mkuu kasimamisha kwa sbb ya uhakiki hewa. Mpaka uhakiki uishe watu watakuwa mabilionaire. NYIE SSM WANAFIKI SANA NA SLOGAN YENU. MNAHIMIZA WATU WAFANYE KAZ NA WAKATI KAZ ZENYEW MEZUWEKA UVUUNGUNI. WANAFIKI SANA NYIE.NCHI YA VIWANDA POOR SSMHayo ni maoni yako ila kundi linalompenda nikubwa sana kuliko uzaniavyo, usije ukawa unashinda hapa jf na ikawa ndio tathimin yako kuwa Bw Pombe hapendwi.
Kwa sisi wafanyakazi tunampenda sana mfano tu mdogo wakubwa wengi wa Idara zama zilee walikuwa ni kama miungu watu ila sasa wamekuwa wa kaida sana tuu.na wamekuwa hata ushauri wakiomba kwa wafanyakazi wa chini,
Kikubwa usijidanganye wala kudanganywa na story za vijiweni.
Piga kazi mkuu kila kitu utakiona sawa tu.
utakuwa mtumishi ndo maana imekugusaNimeipenda no 4 ,ni ukweli mtupu
Ushauri mzuri sana,wafanyakazi tuna hali ngumu sana)
["Hayo ni maoni yako ila kindi linalompenda nikubwa sana kuliko uzaniavyo, usije ukawa unashinda hapa jf na ndio ikawa tathimin yako kuwa Bw Pombe hapendwi.
Kwa sisi wafanyakazi tunampenda sana maana wakubwa wengi wa Idara zama zilee walikuwa ni miungu watu ila sasa wamekuwa wa kaida sana tuu.
Kikubwa usijidanganye wala kudanganywa na story za vijiweni"].
Mkuu umesahau option ya tatu kuwa ben saananed u need to reconsiderNaomba namba ya JPM nijitoe mhanga nimfowadie haka ka walaka kazito sana, au nipe email take maana mimi sina cha kupoteza iwe milioni saba, kifungo au vyote viwili.
Kumbuka alishasema muhimili mmoja umejichimbia chini zaidi.Raisi anafanya mengi mazuri lakini hili la kuamuru watendaji wake wasilipe madai ya PPF ya wastaafu wa ATCL hata pale mahaka inapo ipa PPF amri ya kukamata mali za ATCL na kuziuza kufidia madai hayo mimi sikubaliani nawe. Una minya mamlaka ya mahakama na kwa kuwa viongozi wote wanakuogopa basi haki sasa haitendeki mahakama haina sauti.
Sema mimi siyo sisi hujatumwa kuwasemea wafanyakazi hapa.Mleta post kapost nahungu tupu, sisi ndiyo wafanya kazi, tunampenda JPM kwa akili zetu na miyo yetu yote kwa 100% ikiwezekana mara 1000 ya zamani.
Mkishapewa vyeo mnaharisha moja kwa moja bila brake. Haya nenda katawaze.Umepoteza muda kuandika upumbavu huu??? Ni wewe na mkeo tu hamumpendi JPM. Madili yako yamezibwa na bado utaisoma namba,!!
Nyie ndiyo wale nawaitaga wachumia Tumbo. Yaani ww ukishashiba Leo basi, akili zenu ni Kama hayawani, yaani wanyama coz hamna ufahamu.huyo mshauri ameshauri vizuri sana, ww ilitakiwa uongeze ushauri wako mzuri zaidi ili umsaidie kiongozi wetu Kama unamtakia mema.Mie nadhani mngemshauri mbowe kwamba kama upinzani tunatokaje hapa....mh rais hukumpigia kura hivyo achana naye.
Endeleeni kumsifia si zamu yenu sasa " kula nchi" ila uzuri Faru John hatabiriki muda wowote kibarua kinaota majani ndipo akili zitawarejea.Yaaani point ipo pale kwenye Solution tuu!
Kusikiliza ushauri wa wasaidizi wake...likini pia sio kila ushauri ni wa kusikiliza..
Huko kwingine umeendika upuuzi tuu!
Yaani eti aachie wapiga deal ili 2020 ashinde? [emoji41][emoji41][emoji41]
1. Yale mambo ya flow metre feki kule bandarini yaendelee?
2.Makontena 3000 yapotee tena?
3. Tuendelee kuwa na wakuu wa idara watemi? Wasiokuwa na nidhamu?
4. Aruhusu madawa ya kulevya yaendelee kupitishwa pale airport?
5. Aruhusu tembo waendelee kuuwawa?
6. Aruhusu wale jamaa wa 7milion kwa dakika waendelee na biashara yao...
Mkuu kama umetumwa na wapiga deal wenzako kawaambie karata yenu imemangwa...
Sisi walalahoi tunampenda magufuli hivyo hivyo alivyo!
Magufuli nyooosha mbele kwa mbele.