Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
Naomba namba ya JPM nijitoe mhanga nimfowadie haka ka walaka kazito sana, au nipe email take maana mimi sina cha kupoteza iwe milioni saba, kifungo au vyote viwili.
Naomba namba ya JPM nijitoe mhanga nimfowadie haka ka walaka kazito sana, au nipe email take maana mimi sina cha kupoteza iwe milioni saba, kifungo au vyote viwili.
Sihitaji jua km upo upande wangu au lah.ILA DHANA KWAMBA WATENDAJI NDIO HAWAN AUWEZO WA WAKOSEFU SIIPENDI INAPOTOSHA WATANZANIA SANA.BORA USIITUMIE KABISA KM HUONI HASARA YAKE.HAKUNA ALIYEKULAZIMISHA IWEKA. NI TABIA SIKU HIZI HATA WANASIASA KUONGEA VITU NYENYE UJUMBE MWINGINE NA KUINGIZA JINA LA MUNGU KIRAHISI TUU.HIYO DHANA YA WATENDAJI KUWA SHIDA IMESHAPOTOSHA SANA WATANZANIA NA WANAFIKI WANAIFAIDI SANA KUJIPENDEKEZA KWA WALENGWA.
Sasa kumbe nikwasababu unampenda mwambie akuoe basi maana inaonekana hata akikuomba tako utatoa tuu maana autaelewa ata umkataliajeAcha urongo...mimi ni mtumishi wa umma na ninampenda mpaka wakati mwingine nakosa balance hata nisione makosa dhahiri yanayofanyika....Wasiompenda ni wale ma bwanyenye miungu watu waliokuwepo kwenye ofisi za umma...Be informed...Fanya utafiti uone!
Hivi mahakama siimefunguliwa bado hawaja muandalia kesoMbona kuna mtuhumiwa wa ufisadi aliyethibitishwa na adhabu akapewa amekaribishwa kugombea ukuu wa nchi je angefanikiwa kuukwaa urais si naye angekuwa Rais Fisadi?
Ccm wanalindana km kawaida yao lkn angalau ameshathibitishwa na bunge kupitia kamati yake inatoshaHivi mahakama siimefunguliwa bado hawaja muandalia keso
Inavyoonyesha una stress sana...relax life is so sweet usipokuwa na bitterness... Pole mweeh!Sasa kumbe nikwasababu unampenda mwambie akuoe basi maana inaonekana hata akikuomba tako utatoa tuu maana autaelewa ata umkataliaje