Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
ni Anglican
ni Anglican
Me like u very muchKumbuka hata askofu wetu Methodius Kilaini alivuta za Escrow ni bora tujikite kujiimarisha kiimani binafsi kuliko hawa viongozi wetu wa dini. Sio Mkapa tu, hata walioamuru Lissu amiminiwe risasi saizi wako kanisani wanasali na watasema tuwaombee
Acha uongo. Marais wote wakristu waliopata kutokea Tanzania ni wakatolikini Anglican