Kwanini Watanzania hamjiungi na ALIBABA small business website

Mkuu kujiunga ni mpaka uwe na kampuni ... Halafu ukitaka kununua vitu huwezi nunua kimoja kimoja mpaka kwa ujumla ...
Naomba ufafanuzi wako tafadhali .
  • Inawezekana pia kununua kitu kimoja kimoja - Tumia muda ku_search utapata bidhaa yako
 
Alibaba is no 1 Hamna matapeli mke wewe .Imeizidi google na eBay .its safe

Mkuu hilo ulisemalo sio kweli kabisa.
Usije ukawaponza waTz hapa.

ALIBABA.COM Hawatoi Guarantee yyt kwa Washiriki waliomo humo na makampuni mengi yaliomo humo ALIBABA.COM hayakubali PAYPAL as a source of payments.
Kwa sababu PAYPAL inakuhakikishua Usalama wa Pesa zako.
Wengi wao wanataka utume pesa kwa Moneygram au Western Union.

Na njia hizi zote HAKUNA USALAMA WAPESA ZAKO.

Ukiwaambia utume kwa (LOC) kupitia benki yako ASILIMIA 90% ya makampuni hayo WANAKATAA.

WIZI WENGI MNO kupita WAAMINIFU.
Mwenye kutaka bidhaa CHINA ni bora mara milioni upoteze hio NAULI uende mwenyewe.
 
Mkuu hilo ulisemalo sio kweli kabisa.
Usije ukawaponza waTz hapa.

ALIBABA.COM Hawatoi Guarantee yyt kwa Washiriki waliomo humo na makampuni mengi yaliomo humo ALIBABA.COM hayakubali PAYPAL as a source of payments.
Kwa sababu PAYPAL inakuhakikishua Usalama wa Pesa zako.
Wengi wao wanataka utume pesa kwa Moneygram au Western Union.

Na njia hizi zote HAKUNA USALAMA WAPESA ZAKO.

Ukiwaambia utume kwa (LOC) kupitia benki yako ASILIMIA 90% ya makampuni hayo WANAKATAA.

WIZI WENGI MNO kupita WAAMINIFU.
Mwenye kutaka bidhaa CHINA ni bora mara milioni upoteze hio NAULI uende mwenyewe.

Siyo kweli Mkuu! Alibaba nao mbona wana kitu wanaita Escrow ambayo ni sawa na hiyo PayPal??!!
 
Wizi wakubwa hawa wachina.

Msiwashauri watz wenye mitaji ya kubangaiza.
Mtawaliza watu machozi ya Damu.

Haya ndo matatizo ya wa-TZ! Hata asiyekuwa na uzoefu anajidai kuwa na huo uzoefu! Kukatishana tamaa mwanzo mwisho! Wenye uzoefu nao wanatoa infos nusu nusu tu sijui tutabadilika lini?

Huwa nawakubali Money Stunna na Konzogwe jamaa huwa wanamwaga uzoefu mpaka unatamani ufanye hiyo biashara, hawa wengine magumashi tu! Konzogwe hebu njoo huku usikie huu mjadala kuhusu Alibaba.com! Money Stunna njoo huku utoe uzoefu wako kuhusu online businesses, watu wanazingua huku!!
 
Mkuu hebu mwaga story yote jinsi ilivyokuwa!

Stori ni ndefu mno.
Kwa kifupi nimekuja washtukia kwenye malipo.
Tumeshakubaliana bei na kila kitu mwisho kwenye kutuma malipo mimi nilihimiza aidha kutumia Paypal au (Lc) letter of Credit kipitia benki yangu, jamaa wanahimiza Western Union yaani utafikiri namtumia shangazi hela ya Sikukuu!

Kuwauliza sababu ya Kukataa hizi njia Ambazo zinakubalika Ulimwenguni kote eti wanasema Pesa inachelewa!
Pumbaff kabisa.

Wizi hawa mi nakwambia.
Na km ukipata muaminifu basi ni mmoja kati ya milioni.
 
Haya ndo matatizo ya wa-TZ! Hata asiyekuwa na uzoefu anajidai kuwa na huo uzoefu! Kukatishana tamaa mwanzo mwisho! Wenye uzoefu nao wanatoa infos nusu nusu tu sijui tutabadilika lini?

Huwa nawakubali Money Stunna na Konzogwe jamaa huwa wanamwaga uzoefu mpaka unatamani ufanye hiyo biashara, hawa wengine magumashi tu! Konzogwe hebu njoo huku usikie huu mjadala kuhusu Alibaba.com! Money Stunna njoo huku utoe uzoefu wako kuhusu online businesses, watu wanazingua huku!!

We kajaribu uone cha mtemakuni.
Yanini kubishana.
 
Stori ni ndefu mno.
Kwa kifupi nimekuja washtukia kwenye malipo.
Tumeshakubaliana bei na kila kitu mwisho kwenye kutuma malipo mimi nilihimiza aidha kutumia Paypal au (Lc) letter of Credit kipitia benki yangu, jamaa wanahimiza Western Union yaani utafikiri namtumia shangazi hela ya Sikukuu!

Kuwauliza sababu ya Kukataa hizi njia Ambazo zinakubalika Ulimwenguni kote eti wanasema Pesa inachelewa!
Pumbaff kabisa.

Wizi hawa mi nakwambia.
Na km ukipata muaminifu basi ni mmoja kati ya milioni.

acha upotoshaji bana wewe, ukiona mmoja haumwelewi unaachana naye unaenda kwa muuzaji mwingine. kwanza siku hizi alibaba wana escrow, tafuta gold supplier nunua kwa escrow, siyo unaponda tu ONE IN A MILLION, unafikiri kampuni ingekuwepo mpaka sasa?!!! watu tunanunua kule kila siku, cha kuhofia sanasana ni ubora tu, na kwa hilo kama ni mteja unataka vingi wanakutumia sample BURE!!
 
acha upotoshaji bana wewe, ukiona mmoja haumwelewi unaachana naye unaenda kwa muuzaji mwingine. kwanza siku hizi alibaba wana escrow, tafuta gold supplier nunua kwa escrow, siyo unaponda tu ONE IN A MILLION, unafikiri kampuni ingekuwepo mpaka sasa?!!! watu tunanunua kule kila siku, cha kuhofia sanasana ni ubora tu, na kwa hilo kama ni mteja unataka vingi wanakutumia sample BURE!!

Omba sample ya Laptop.
Wakikuletea bure mimi nafunga kula nyama mwaka mzima.

Wizi wakubwa hao.
Hizo gold members uongo mtupu.
Nimewajaribu Supplier watano NA wote ni Gold members.
Hakuna hata mmoja yuko makini.

We km una kampuni yako bubu humo endelea kuwapambia.
alibaba wenyewe kwenye Disclaimer yao wanakwambia WAZI KUWA HAWAHUSIKI NA MATATIZO YYT YATAKAYO TOKEA BAINA YA MUUZAJI NA MNUNUZI.

Sasa hio kauli ya Uhakiki?

We km una mtaji wa Dola 2000 sidhani km utaogopa kuingia kichwa kichwa.
Mimi hamnipati huko hata siku wahedi.
 
Back
Top Bottom