Shingamagadi
Member
- Jul 12, 2018
- 37
- 29
ni kawaida tu kama unavyoona wamasai kutoboa masikio, ni kinga ya asili hiyo.usiangalie sana hayo jikite na kile kilichokuvutiaSwalaamaaa wana MMU
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza kwa nini wanawake wengi na mabinti wa kanda ya ziwa wana chale mwilini!!?
Chale hizo zinaonekana hasa maeneo ya kifuani kwa juu karibu na shingo na nyingine mgongoni kwa juu
Mademu wengi niliowalomba na wale nisiowalomba huku kanda ya ziwa nimewakuta na chale
Demu unakuta ni mkali white ila ana chale kadhaa mwilini
Wale wenyeji wa kanda ya ziwa hasa wasukuma ebu tuambieni kwa nini wanawake wa kwenu wanakua na chale sana mwilini!?
Hahhahahaha anko wangu bwanabadala ya kushughulika mwanaume huko busy kufanya ukaguzi
sasa ww ni afisa mgegedaji au afisa ukaguzi ?
Auntie umenishindahaya ya ex yameanza lini jamani
Watu ya kanda ya ziwa ni walozi sana, chale wanachanjwa watu wenye imani na waganga ili kujilinda na hizo nguvu za kishirikina...Swalaamaaa wana MMU
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza kwa nini wanawake wengi na mabinti wa kanda ya ziwa wana chale mwilini!!?
Chale hizo zinaonekana hasa maeneo ya kifuani kwa juu karibu na shingo na nyingine mgongoni kwa juu
Mademu wengi niliowalomba na wale nisiowalomba huku kanda ya ziwa nimewakuta na chale
Demu unakuta ni mkali white ila ana chale kadhaa mwilini
Wale wenyeji wa kanda ya ziwa hasa wasukuma ebu tuambieni kwa nini wanawake wa kwenu wanakua na chale sana mwilini!?
Mkuu mwenyewe nimeingia kanda ya ziwa huu mwaka wa 2014 na nimeshuhudia mafurushi ya kutosha kwa nyumaaaah mkuu mie nimeingia kanda ya ziwa 2014,ni kweli wana chale sana ilaaa!!!bwana hawa wanawake wana mafurushi,yani mwanzo nlikuwa hadi najiuliza kwelii me ndio nakula demu mwenye furushi hivi??wakati dar nlizoea kuwaona wakishuka kwrnye v8 na kubang na vigogo...
heshima kwenu wanawake wa kisukuma mmeumbikA
Aisee, kuna kitu nilitaka kuandika ila ngoja niacheSijawahi juta kukufahamu!
noumah sanaaa aisee,ila nasikia siri yao kubwa ni supu za sangaraMkuu mwenyewe nimeingia kanda ya ziwa huu mwaka wa 2014 na nimeshuhudia mafurushi ya kutosha kwa nyuma