Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Mwanamke mwenye kwenda unyago hawezi mwambia boyfriend au mume wake eti fulani kanitongoza, bali hudeal na huyo aliyemtongoza kwa kumwambia tayari ameshawahiwa na asiendelee kumsumbua kabisa na umtishia akiendelea atamwambia mumewe na akionyesha sura ya userious huyo mtu hatorudi, sasa ukienda mwambia muhusika unakuwa unataka akapigane? sidhan kama ni njia nzuri ya kudeal na mitongozo