Kwa nini wanawake hufanya hivi???????

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,847
Hivi kwa nini ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke
au ndoa....halafu siku moja mwanamke akakwambia 'fulani ananitongoza'

hivi maana yake hasa ni nini??????

Kwa nini wanaume wengi wakiambiwa hivyo huamini kuwa huyo mwanamke
keshatembea na huyo fulani?

Na kwa nini kama ni kweli wanawake wengi hupenda kusema hivyo?

Inanishangaza hii tabia sana....
 
Ni kuwa huyo mke alietongozwa hana haja na huyo aliemtongoza ndio manake anakuambia katongozwa.lakini kama alitongozwa na akakubali wala hatakuambia kuwa katongozwa..atachakachuliwa weee mpaka akuletee mtoto wa kisukuma na nyie wote wachaga.
 
Boss saa zingine huwa inakuwa ni kweli na saa zingine inawezakana isiwe kweli, kuna mwanamke mwingine unakuta anakwambia fulani ananitongoza wakati tayari kaishatembea nae na kuna mwingine atakwambia the same story lakini huyu akifanya hivyo ili hata kama ikitokea una suspicions juu ya huyo mtu inakuwa kama vile tayari alikuwa aliisha ku-alert mapema on the situations kwahiyo sometimes inakuwa kama vile kuchukua precautions mapema lakini the situation is still 50/50.
 
Boss saa zingine huwa inakuwa ni kweli na saa zingine inawezakana isiwe kweli, kuna mwanamke mwingine unakuta anakwambia fulani ananitongoza wakati tayari kaishatembea nae na kuna mwingine atakwambia the same story lakini huyu akifanya hivyo ili hata kama ikitokea una suspicions juu ya huyo mtu inakuwa kama vile tayari alikuwa aliisha ku-alert mapema on the situations kwahiyo sometimes inakuwa kama vile kuchukua precautions mapema lakini the situation is still 50/50.

Are u sure??
 
Mi nadhani wanasema kwa nia nzuri tu!!!
Lakini pia inategemea huyo mtu amenitongoza halafu nimemjibu akawa hataki kunielewa akawa msumbufu na kuninyima furaha na amani. Nitamwambia huyo mume/mchumba, kufanya hivo ni ili naye anisaidie au anipe mchango wa mawazo jinsi ya kumuepuka. Lakini kama amenitongoza nikampa jibu akanielewa wala siwezi kumsemea kwa mume wangu.

Kwa nini nitengeneze bifu kati ya mume wangu na mwanaume mwingine/wengine. Huwezi jua leo na kesho watakuja kukutana wapi. Dunia kubwa hii unamchongea mwanaume aliyekutokea tu siku moja ukamkataa akakuelewa kwa kiherehere unamwambia huyo mtu ako, anamchukia kesho wanakutana ofisi moja, wanafanya kazi pamoja halafu moja Boss wa mwenzie. Anakuwa anajisemea tu moyoni, unammendea mke wangu wewe!!

Daaa sio lazima hata ukikutana na paka njiani uje kumwambia your husband bwana. Lakini tuwe waaminifu kwenye mahusiano tunayokuwa nayo!!
 
Yalishanitokea pia, tatizo ukimwambia akutajie aliyemtongoza ni kama unapigana na ukuta. Nadhani ni mbinu ya kukufanya uwe na attention kwake na si zaidi
 
Hivi kwa nini ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke
au ndoa....halafu siku moja mwanamke akakwambia 'fulani ananitongoza'

hivi maana yake hasa ni nini??????

Kwa nini wanaume wengi wakiambiwa hivyo huamini kuwa huyo mwanamke
keshatembea na huyo fulani?

Na kwa nini kama ni kweli wanawake wengi hupenda kusema hivyo?

Inanishangaza hii tabia sana....

Kinacho kushangaza ni nini mbona!
Mbona wale unao wapenda na kuwapa huwasemi.
Kwa vile humpendi ndio unawasemea du unataka wauwane ndio ufaidi vizuri.
 
Boss saa zingine huwa inakuwa ni kweli na saa zingine inawezakana isiwe kweli, kuna mwanamke mwingine unakuta anakwambia fulani ananitongoza wakati tayari kaishatembea nae na kuna mwingine atakwambia the same story lakini huyu akifanya hivyo ili hata kama ikitokea una suspicions juu ya huyo mtu inakuwa kama vile tayari alikuwa aliisha ku-alert mapema on the situations kwahiyo sometimes inakuwa kama vile kuchukua precautions mapema lakini the situation is still 50/50.

In full support of your comments!

Huwezi kuwa na definite jibu na inabaki 50/50, cha msingi ni kumjua mke/mchumba wako kiasi kwamba iwe rahisi kwako kutambua anachokisema ni sanaa tu ama anamaanisha.

Pata picha ya mke aliyezoea kumwambia Mr. wake pindi anapotongozwa kisha ikafika mahali akaamua kutosema hata kama anatongozwa mara 10 kwa siku. Wewe Mume mawazo gani yatakujia kichwani...."si mzuri/hana mvuto tena?" au "anachakachuliwa ndo maana hasemi?"...

Binafsi natambua mijamaa huwa inamtongoza wife wangu hata kama asiponiambia ingawa kuna wakati huwa anasema pengine kwa kuona it is getting out of control. Tatizo ni kwamba akiamua kukusaliti anaweza tu
 
Hiyo ni strategy ya wanawake ya kujiweka safe side! Siku ukija jua kuwa mkeo anamtu anawasiliana nae atakuambia tu kuwa si nilikuambia kuwa jamaa ananitongoza na nikataa lakini anang'ang'ania? Hapo ujue mwenzio anakula ila anajilinda tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
In full support of your comments!

Huwezi kuwa na definite jibu na inabaki 50/50, cha msingi ni kumjua mke/mchumba wako kiasi kwamba iwe rahisi kwako kutambua anachokisema ni sanaa tu ama anamaanisha.

Pata picha ya mke aliyezoea kumwambia Mr. wake pindi anapotongozwa kisha ikafika mahali akaamua kutosema hata kama anatongozwa mara 10 kwa siku. Wewe Mume mawazo gani yatakujia kichwani...."si mzuri/hana mvuto tena?" au "anachakachuliwa ndo maana hasemi?"...

Binafsi natambua mijamaa huwa inamtongoza wife wangu hata kama asiponiambia ingawa kuna wakati huwa anasema pengine kwa kuona it is getting out of control. Tatizo ni kwamba akiamua kukusaliti anaweza tu
Mkuu hebu kamata hii kitu chini hapa

The Following User Says Thank You to RealMan For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Hivi kwa nini ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke
au ndoa....halafu siku moja mwanamke akakwambia 'fulani ananitongoza'

hivi maana yake hasa ni nini??????

Kwa nini wanaume wengi wakiambiwa hivyo huamini kuwa huyo mwanamke
keshatembea na huyo fulani?

Na kwa nini kama ni kweli wanawake wengi hupenda kusema hivyo?

Inanishangaza hii tabia sana....


Hapo ushachakachuliwa Boss aliyempa alikwambia??? Hapo ujue anajikosha tu mimi hata ukinitongoza simwambii jamaa
 
Ni kuwa huyo mke alietongozwa hana haja na huyo aliemtongoza ndio manake anakuambia katongozwa.lakini kama alitongozwa na akakubali wala hatakuambia kuwa katongozwa..atachakachuliwa weee mpaka akuletee mtoto wa kisukuma na nyie wote wachaga.

Kumbe ulishasema nilikuwa sijaona
 
Boss saa zingine huwa inakuwa ni kweli na saa zingine inawezakana isiwe kweli, kuna mwanamke mwingine unakuta anakwambia fulani ananitongoza wakati tayari kaishatembea nae na kuna mwingine atakwambia the same story lakini huyu akifanya hivyo ili hata kama ikitokea una suspicions juu ya huyo mtu inakuwa kama vile tayari alikuwa aliisha ku-alert mapema on the situations kwahiyo sometimes inakuwa kama vile kuchukua precautions mapema lakini the situation is still 50/50.

smart!!
 
Mi nadhani wanasema kwa nia nzuri tu!!!
Lakini pia inategemea huyo mtu amenitongoza halafu nimemjibu akawa hataki kunielewa akawa msumbufu na kuninyima furaha na amani. Nitamwambia huyo mume/mchumba, kufanya hivo ni ili naye anisaidie au anipe mchango wa mawazo jinsi ya kumuepuka. Lakini kama amenitongoza nikampa jibu akanielewa wala siwezi kumsemea kwa mume wangu.

Kwa nini nitengeneze bifu kati ya mume wangu na mwanaume mwingine/wengine. Huwezi jua leo na kesho watakuja kukutana wapi. Dunia kubwa hii unamchongea mwanaume aliyekutokea tu siku moja ukamkataa akakuelewa kwa kiherehere unamwambia huyo mtu ako, anamchukia kesho wanakutana ofisi moja, wanafanya kazi pamoja halafu moja Boss wa mwenzie. Anakuwa anajisemea tu moyoni, unammendea mke wangu wewe!!

Daaa sio lazima hata ukikutana na paka njiani uje kumwambia your husband bwana. Lakini tuwe waaminifu kwenye mahusiano tunayokuwa nayo!!


you are so naive.....
 
ni kuwa huyo mke alietongozwa hana haja na huyo aliemtongoza ndio manake anakuambia katongozwa.lakini kama alitongozwa na akakubali wala hatakuambia kuwa katongozwa..atachakachuliwa weee mpaka akuletee mtoto wa kisukuma na nyie wote wachaga.

ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom