BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Nimekuwa nikishirikia katiko wito mwingi wa kusuluhisha shida za watu za ndoa
katika hili ni vizuri nikujuze wewe unaejiandaa kwenye ndoa ndoa ni kutumika
nimeangaliawanaumewengi wakiwa kwenye uchumba wanatumia kweli wakiingia
kwenye ndoa wanabadilika kama smahani kuita hili"kenge"" ama kinyonga
ifike wakati tujiulize umejiandaa vipi kwa ajili ya ndoa ndoa si kuvaaa pete tu
na kunywa na kula na kwenda chooni nyumba inaanza baada ya saa sita na nusu wana
posema sasa wanaharusi wakapumzike hapo ndipo nani kasa nani garasa linaanza
wakati huu wa kujiandaa kwenda kanisanai kushiirki ibada takatifu naomba nikujuze
iwapo una tabia hiyo hilo ni roho spirit ya ubaili unaitaji kujitoa na si hivihivi kwa maombi
binafsi ya kufunga na kukeshaa..hii itakusaidia kuishi kwenye raha katika ndoa..
Umeoa huyo ndio wa kutumia nae aijalishi una kipato gani kaaeni chini wekeni vipato vyenu
kuleni mema ya nchi acheni maisha ya ubahiri ndoa gani unamtoa mkeo mpaka siku ya bday
hiyo ni laana ukiangalia na wazazi wako walikkuwa wanatoana siku za bday sasa jitoe
aina garaama sana ni kujianda tu na kupanga sala zako mungu akusaiidie kuishi kwa raha jamani
mema ya nchi unakula hapa hapa duniani nani kakwambia mema ya nchi yako mbinguni baibo
iko wazi ukifa inafwata hukumu na mbingu ni za bwana bali nchi ni ya dunia ...akili kichwani
wish roho ya kusihi kwa raha na starehe kwenye maisha yenu mungu aondoe kale karoho
ka ubaili jamani yaani natamani nianzishe kaibada cha kuombe na kukemea ubaili kwenye maisha
ya wana jf ..weewe unaacha maharage na ugali kwako unakwenda job unarud i unakaa
rosegarden/bpoint unazungusha round kama mwehu na laki zako unaondoka na alfu 30 ndio
maana nasema hata wale wanaopiga vidole kwenye nguo zetu ruksa kama mkeo wengine wanachoka
ati yaani nyama ule wewe alafu umletee vijiti mkeo na uchafu wa nyama mdomoni shamee
shamee shamee
hope kubadiliaka soon
katika hili ni vizuri nikujuze wewe unaejiandaa kwenye ndoa ndoa ni kutumika
nimeangaliawanaumewengi wakiwa kwenye uchumba wanatumia kweli wakiingia
kwenye ndoa wanabadilika kama smahani kuita hili"kenge"" ama kinyonga
ifike wakati tujiulize umejiandaa vipi kwa ajili ya ndoa ndoa si kuvaaa pete tu
na kunywa na kula na kwenda chooni nyumba inaanza baada ya saa sita na nusu wana
posema sasa wanaharusi wakapumzike hapo ndipo nani kasa nani garasa linaanza
wakati huu wa kujiandaa kwenda kanisanai kushiirki ibada takatifu naomba nikujuze
iwapo una tabia hiyo hilo ni roho spirit ya ubaili unaitaji kujitoa na si hivihivi kwa maombi
binafsi ya kufunga na kukeshaa..hii itakusaidia kuishi kwenye raha katika ndoa..
Umeoa huyo ndio wa kutumia nae aijalishi una kipato gani kaaeni chini wekeni vipato vyenu
kuleni mema ya nchi acheni maisha ya ubahiri ndoa gani unamtoa mkeo mpaka siku ya bday
hiyo ni laana ukiangalia na wazazi wako walikkuwa wanatoana siku za bday sasa jitoe
aina garaama sana ni kujianda tu na kupanga sala zako mungu akusaiidie kuishi kwa raha jamani
mema ya nchi unakula hapa hapa duniani nani kakwambia mema ya nchi yako mbinguni baibo
iko wazi ukifa inafwata hukumu na mbingu ni za bwana bali nchi ni ya dunia ...akili kichwani
wish roho ya kusihi kwa raha na starehe kwenye maisha yenu mungu aondoe kale karoho
ka ubaili jamani yaani natamani nianzishe kaibada cha kuombe na kukemea ubaili kwenye maisha
ya wana jf ..weewe unaacha maharage na ugali kwako unakwenda job unarud i unakaa
rosegarden/bpoint unazungusha round kama mwehu na laki zako unaondoka na alfu 30 ndio
maana nasema hata wale wanaopiga vidole kwenye nguo zetu ruksa kama mkeo wengine wanachoka
ati yaani nyama ule wewe alafu umletee vijiti mkeo na uchafu wa nyama mdomoni shamee
shamee shamee
hope kubadiliaka soon