John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
mnawatoa wenyewe tena msitulalamikie hapa
mnawatoa wenyewe tena msitulalamikie hapa
![]()
Chezea nyumba ndogo wewe, na big house usipobadirika unapokonywa mme moja kwa moja! Wale mnaobweteka baada ya kuolewa acheni.....
Siyo siri tunajisahau sana na kushindwa kutekeleza hata majukumu yetu hata yale ambayo basic katika ndoa. Mwanaume ni kiumbe dhaifu sana katika maamuzi na anahitaji kubembelezwa kama mtoto mdogo siku zote. Ole wetu wale tunaojifanya kutafuta usawa hata ndani ya nyumba zetu, tukubali matokeo.Chezea nyumba ndogo wewe, na big house usipobadirika unapokonywa mme moja kwa moja! Wale mnaobweteka baada ya kuolewa acheni.....
Nimefurahishwa sana na maneno yako! Ama kweli mmeo ana kila sababu ya kujivunia kukupata wewe if you real talk this from the bottom of your heart! Keep it up, na wala hautasikia umeibiwa mme hata siku moja!Siyo siri tunajisahau sana na kushindwa kutekeleza hata majukumu yetu hata yale ambayo basic katika ndoa. Mwanaume ni kiumbe dhaifu sana katika maamuzi na anahitaji kubembelezwa kama mtoto mdogo siku zote. Ole wetu wale tunaojifanya kutafuta usawa hata ndani ya nyumba zetu, tukubali matokeo.
Kaka ushabwetekaNimefurahishwa sana na maneno yako! Ama kweli mmeo ana kila sababu ya kujivunia kukupata wewe if you real talk this from the bottom of your heart! Keep it up, na wala hautasikia umeibiwa mme hata siku moja!
Mwanaume aliyekuoa/atakayekuoa ana bahati sana duniani. Vipi una mdogo wako mwenye mawazo mazuri kama wewe na mimi nijiwahi??Siyo siri tunajisahau sana na kushindwa kutekeleza hata majukumu yetu hata yale ambayo basic katika ndoa. Mwanaume ni kiumbe dhaifu sana katika maamuzi na anahitaji kubembelezwa kama mtoto mdogo siku zote. Ole wetu wale tunaojifanya kutafuta usawa hata ndani ya nyumba zetu, tukubali matokeo.
Hahahaaaa... siyo kweli mkuu! Ndiyo maana HONGERA nimeitoa kwa condition kwamba, iwe ni kweli kwamba akitamkacho kiwe kinatoka at the bottom of her heart!Kaka ushabweteka
Siyo siri tunajisahau sana na kushindwa kutekeleza hata majukumu yetu hata yale ambayo basic katika ndoa. Mwanaume ni kiumbe dhaifu sana katika maamuzi na anahitaji kubembelezwa kama mtoto mdogo siku zote. Ole wetu wale tunaojifanya kutafuta usawa hata ndani ya nyumba zetu, tukubali matokeo.
Chezea nyumba ndogo wewe, na big house usipobadirika unapokonywa mme moja kwa moja! Wale mnaobweteka baada ya kuolewa acheni.....
Hahaaaa.... inauma eeeh, ulamanya iwe KyanaKyoMuhaya!Mnapenda kutunzwa eeh! hata sisi tunatunzwa, na ndio maana familia zilizohusudu kutunzwa. ZIMEFUTIKA CHUNGUZA,!!