Kwa nini wanaume ndo target?

Kwa nini wanaume ndo target?

rrm72

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2015
Posts
508
Reaction score
300
Wana JF
Naomba kujuzwa, nimekuwa nikifuatilia matukio haya yaliyo mengi yanawahusu wanaume, kwa nini?
Mfano;
Dukani wanauza viagra_kwa ajili ya wanaume
Mganga has masai anauza daya _Dawa ya kuongeza nguvu_za kiume
Mganga ana dawa ya kumpata mpenzi mpya _mwanaume
Mganga ana dawa ya kumrudisha mpenzi _mwanaume
Mganga ana dawa ya kuongeza mapenzi katika ndoa-mlengwa mwanaume
Mganga ana dawa ya kupumbaza mtu _mlengwa mwanaume
kwa nin wanaume tu???
 
Kwa nini tusihusishe na ukata ullioko mikoani kama simiyu. Mmasai atapata mteja kweli?
 
[emoji981][emoji445]Wanaume tumeumbwa matesooo matesooo kuhangaika[emoji441][emoji445]
 
Tuweke kumbukumbu iliyozoeleka wakuu,
Watu wakisema mkoani humaanisha nje ya jiji la Dar es salaaam. Nadhani iko sahihi
 
Back
Top Bottom