........halafu nyingine ni kwa nini mwanaume hawezi kumpa busu mwanaume mwezio? Utakuta mke yupo na mumewe, mara mkakutana na rafiki ya mume.......rafiki yule anampa kiss shemejie yaani mke wa rafiki yake lakini hampi kiss rafiki yake.
NB. Busu ninalozungumzia hapa ni la paji la uso au la shavuni.
Nenda uarabuni uone wanavyobusiana. . .
Ukimuita mwanaume mwenzio majina hayo basi juwa aidha ''waliwa'' au uko mbioni ''kuliwa'' na wanaume wenzio......kina mama huitana vile wao kwa asili ''huliwa'' na wanaume
....bora hata kuitwa ''we Bwegez''
ha ha ha haaah!! Hapo mwisho unaua mkuu!hayo majina ni malaini,...matamtam...yakurembua rembua...yakulegezalegeza..ambpo hizo zoote sio sifa za mwanaume...niite jombaa,...chaliii angu,...mchizi wangu, kichaa wangu,..nyoka...jembe (sio lile linalotiwa mpini)...lols...na mengineyo maguuuumu!!!
anyways lets be more practical,.nambie sweetie kaeso (assuming u r a man)!!
Wanaitana sana.
UnaTAKA KUITWA HIVYO MKUU, we tangaza tu, wako kibao wa kukuita hivyo-ila usiogope kushikwa kiuno, maana wadada huwa wanaitana hivyo huku wakishikana viuno! LOL!
It's gay.
Wasichana/Wanawake huwa wanapenda kuitana dear, sweet, mpenzi na mengne mengi.
Kwa nini wanaume hatuitani hivi!?
hivi mwanaume anamkula mwanamke?au mwanamke ndo anae kula mwanaume.