babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
Jamani naomba kuuliza
Nikwanini kunakuwa na kutokuelewana kwa wazazi wa mwanaume na wakwe zao?
esp mama mzazi wa mwanaume na mke wa mtoto wake, maana kila ndoa nyingi zina malalamiko haya!.
Kisa hasa ni nini hasa?, je kwa ambao hawajao wanawezaje kuepusha hili!.
Nikwanini kunakuwa na kutokuelewana kwa wazazi wa mwanaume na wakwe zao?
esp mama mzazi wa mwanaume na mke wa mtoto wake, maana kila ndoa nyingi zina malalamiko haya!.
Kisa hasa ni nini hasa?, je kwa ambao hawajao wanawezaje kuepusha hili!.