Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Ni vigumu kuamini lakini ndo ukweli wenyewe siku hizi kupitia mitandao mingi ya kuchat insta, fb, hitwe, bado, whatsup kuna baadhi ya wadada wamejiingiza katika biashara kuuza na kutuma picha zao ambazo ni picha chafu yaani picha za uchii.
Na wadada wengi kama kule insta unakuta mdada anakutext ukitaka picha zangu za uchii njoo whatsup kwa namba flani hii na anakuambia ada labda elfu kumii, ...
sasa katika hili jee hii ina maanisha nini kwa dada zetuu
Na wadada wengi kama kule insta unakuta mdada anakutext ukitaka picha zangu za uchii njoo whatsup kwa namba flani hii na anakuambia ada labda elfu kumii, ...
sasa katika hili jee hii ina maanisha nini kwa dada zetuu