ikoje tai ya Msabato?Pearl uko juu kama tai ya msabato
ikoje tai ya Msabato?Pearl uko juu kama tai ya msabato
Inasaidia. Usidhani hao wanawake nao hawatongozwi. Kuna wanaume ambao wanawapenda hawa wanawake zaidi ya wanavyopendwa na wanaume zao.
Kuna baadhi ya wanawake wanataka kujua nini kinaendelea kwa wanaume zao ili wajue status zao, na wajue jinsi ya kusawazisha mambo ili maisha yao ya mapenzi katika ndoa au mahusiano yawe na usawa.
Big up mkuu, nakubaliana na wewe mia kwa mia lazima kujua status ya mwenzako. na lakini kwa nini mfichane?
Siipendi kabisa simu ya mke wangu.
Ile ni simu yake ya mkononi, siishiki, pia sitaki aishike yangu.
Namuamini kuwa ni msafi, binafsi najiamini pia..
Akitaka kunionyesha kitu, basi atanipa yeye mwenyewe, na sitavuta mipaka.
kusachi simu ya mpz wako ni kuto jiamini kama unajiamini na kujua ww ni mtu mwema vivyo hivyo muamini mwenzio na ujue yy ni mwema,kila jambo linawakati wake na mapenzi hayafichiki ni kikohozi eti so kama kuna baya linalotendeka ipo siku utafunuliwa tu,evytng done on darkeness will be in right one day.
Pearl uko juu kama tai ya msabato
Mahusiano au mapenzi huleta raha na furaha ya ajabu maishani lakini...........
kuna watu aidha wanaume au wanawake,wakikutana tu,utasikia 'naomba simu yako'. Ataanza kusachi,atasachi sms zote,misscall zote,dialled call zote,received call zote,majina yote yaliyoseviwa anafanya hivyo huku mimacho imemtoka na presha juu, je? hii inasaidia kweli? kwa nini uwe na mtu asiemwaminifu kama tatizo ndilo hilo?Wengine mpenzi wake akienda kuoga au toilet,utamwona chapchap kwa speed ya maili milioni 1 kwa saa anaingiza mkono kwenye nguo au begi na kuanza u CIA au u FBI,upelelezi wake,mwenzie anatoka bafuni anashangaa kumuona mpenzie kanuna,shida yote hii ya nini?Wengine kama simu zinafanana atafanya juu chini mbadilishane au uisahau simu yako ili ashinde nayo kutwa nzima ili iweje? kwani mkichokana lazima mtafutiane sababu?Unadhani Darling wako ni zoba kiasi cha kusahau kufuta sms zote za hatari? Unadhani mpenzi wake Asha atashindwa kumsevu kwa jina la Alli? Au mpenzi wake John atashindwa kumsevu kama Jane?Nawulizeni wana JF
Siipendi kabisa simu ya mke wangu.
Ile ni simu yake ya mkononi, siishiki, pia sitaki aishike yangu.
Namuamini kuwa ni msafi, binafsi najiamini pia..
Akitaka kunionyesha kitu, basi atanipa yeye mwenyewe, na sitavuta mipaka.
sasa wewe unatafuta mkong'oto,akigundua salio lake limehamia kwako?vurugu unaziweza?Kwasababu simu ndio midori ya wakubwa,hivyo yapendeza kuzichezea mara uzionapo,na vile vile zinawekwa hela hivyo ni bora kuzisachi waweza ambulia kitita!!!
sioni ubayaakama kweli watu mi wasafi wa miili na mioyo kuna ubaya gani wa mme au mke kushika simu ya mwenza wake?