thadey makusilo
Member
- Oct 31, 2013
- 46
- 11
Mambo vp wana JF,?kuna jambo katika jamii ambali nahisi binfsi hatutendi haki,mwanamke anapopata ujauzito uliotarajiwa, kwa maana ya kwamba kuna taratibu zimezingatiwa pamoja na kufunga ndoa.mwnmke huyu hupongozwa na wazazi wke lakn vilevile na jamaa wanaomzunguka,lakini ukija upande wa aliyeshirikiana nae ''mwanaume'' hapewi pongezi hizo,hv mila za kiafrika haziruhusu?au kuna jambo nyuma ya pazia?kwenu wana JF..