Kwa nini unakuwa huru na mchepuko?

Kwa nini unakuwa huru na mchepuko?

Vituka

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
2,268
Reaction score
1,267
Najua neno langu sio sheria, siwezi wakataza msiwe na michepuko. Ila wewe mwanamke ambae umefanywa mchepuko na mume wa mtu, kwa nini unajiachia tu na mume wa mtu bila aibu?

Ni heri uwe hujui kama wewe ni mchepuko lakini unajijua kabisa status yako afu unatoka na mume wa mtu tena in public as if wewe ndo mkewe!!Nawe mwanaume unajua kabisa we umeoa tunamjua mkeo na wanano pia, unatoka in public na mchepuko kwa nini?

Unaonesha picha gani?

Nimeshuhudia hili kwenye harusi fulani, mtu kaalikwa ana kadi ya Mr & Mrs. Mkewe maskini sjui anaumwa au kasafiri sjui!Kabeba mchepuko huyo kaja nae harusini, mbaya zaidi wanaonesha kabisa ni wapenzi!Ni aibu jamani hasa unapofanya haya mbele za watu wanaokufahamu wewe na familia yako.

Ushauri wangu kwenu wenye tabia kama hizi, please do it in private walau watu wanaowaheshimu wasione uchafu wenu! Kama utaona kunaulazima wa kuwa nae in public kama vile harusini ni heri mkaonesha heshima basi ili kujitunzia heshima mbele eza watu wanaowafahamu.

Michepuko sio dili, epuka UKIWMI NA HOMA YA INI.

Mwenye masikio asikie.
 
michepuko hupunguza stress sasa huyo baba angekuja na nani kama mkewe hayupo? wewe ukimwi hata usipochepuka unaweza upata ... TUMIA CONDOM
 
Michepuko ndio inatutuliza nyumbani stress tupu

Kwa nini ujivunjie hashima sasa?Unashindwa kufanya in private?Imagine unamuona mjomba wako anakiss na mchepuko ivi utamheshimu kweli?Hamkatazwi kuwa na michepuko ila kuweni wastaarabu bwana mnakera!!
 
michepuko hupunguza stress sasa huyo baba angekuja na nani kama mkewe hayupo? wewe ukimwi hata usipochepuka unaweza upata ... TUMIA CONDOM

Hata kama utajitoa ufahamu lakini moyoni mwako unajuakabisa hili sio zuri!Kuwa na mchepuko/michepuko ni uamuzi wako lakini basi ukiwa na familia fanya kistaarabu!Kwa wale ambao hawajaoa wanaweza fanya hii kitu but kwa mliooa mna miaka yakutosha kwenye ndoa JIHESHIMUNI! Kwa wadada wenzangun kuweni makini sana ipo siku hizo nyuso zenu zitamwagiwa maji ya moto
 
huyo nae kazidi, mchepuko unaupeleka kwenye hafla!!! na walivyo na akiri mbovu mkifika uko anazidisha upendo mara mia mia, utashangaa unapgwa makiss na mahug yasio na idadi mbele ya kadamnasi
 
Hata kama utajitoa ufahamu lakini moyoni mwako unajuakabisa hili sio zuri!Kuwa na mchepuko/michepuko ni uamuzi wako lakini basi ukiwa na familia fanya kistaarabu!Kwa wale ambao hawajaoa wanaweza fanya hii kitu but kwa mliooa mna miaka yakutosha kwenye ndoa JIHESHIMUNI! Kwa wadada wenzangun kuweni makini sana ipo siku hizo nyuso zenu zitamwagiwa maji ya moto

Kwa kweli sikubalian na wewe ishi kama upendavyo huwezi toa maji ya moto
 
Kwa kweli sikubalian na wewe ishi kama upendavyo huwezi toa maji ya moto

Endelea ivyo ivyo ila siku utakapoharibiwa reception yako ndo utajua kuheshimu ndoa za watu! Imagine upo harusini na mume wa mtu, kumbe humomhumo kuna anaemjua mwenye mume, as you know na hii technology bibi anatumiwa picha yako unajichetua na mume wake, akiwa mlokole atamuachia Mungu akiwa mcharukoanakuchemshia maji au anakutafia tindikali!Shauri yako
 
Endelea ivyo ivyo ila siku utakapoharibiwa reception yako ndo utajua kuheshimu ndoa za watu! Imagine upo harusini na mume wa mtu, kumbe humomhumo kuna anaemjua mwenye mume, as you know na hii technology bibi anatumiwa picha yako unajichetua na mume wake, akiwa mlokole atamuachia Mungu akiwa mcharukoanakuchemshia maji au anakutafia tindikali!Shauri yako

Cha mtu huliwa na mtu, chuma ndo huliwa na kutuuu....
 
Kama mfundaji kweli Ungeanza kuzifunda njia kuu jinsi ya kuwatuliza waume zao wasichepuke..

Hata nikiwafunda jinsi ya kuwafanya wake/waume wasichepuke ni kazi bure!Nia yangu wajue kuchepuka na watu wao in private na sio kila mtu awaone hata wale wanaowaheshimu. Kwa mchepukaji mzuri, kama anaishi Tegeta basi ataenda kufanya mambo yake na mchepuko huko Mbagala ambako at least ana uhakika hakuwa nawaomjua wengi
 
michepuko hupunguza stress sasa huyo baba angekuja na nani kama mkewe hayupo? wewe ukimwi hata usipochepuka unaweza upata ... TUMIA CONDOM
With my mchepuko, I say no to condom. Condom kwa changudoa. Haya makondom lazima uvute hisia sana mno.
 
Back
Top Bottom