Kwa nini umeokoka halafu una mapepo??

Kwa nini umeokoka halafu una mapepo??

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
Wapendwa katika Bwana

Nimesoma Biblia inasema ukimpokea Yesu kuwa katika maisha yako anakuja kufanya makao ndani yako,

Swali
kwa nini baadhi ya watu waliokoka wana mapepo?je inawezekana vipi mapepo yawe ndani ya yule Mtu,kumbuka Yesu alisema ukinipokea nitakuja kufanya makao ndani yako,sio mimi tu bali hata baba yaani Mungu na Roho Mtakatifu wataishi ndani yako,Mtume Paulo akasema sio mimi naishi bali Yesu ndiye anaishi ndani yangu!sasa mapepo na Mungu wataishije kwenye mwili mmoja?
nimeona mifano mingi sana kanisani kwetu,nimeleta hapa labda mtasaidia kufafanua hili
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu
 
hakuna kubisha wala nini......kama una mapepo una "uchafu" unaomkaribisha au kumvutia pepo,ni kama vile roho mtakatifu akaavyo katika miili iliyo safi na kuigeuza hekalu lake.....na kinyume chake ni kweli!

kama unasumbuliwa na mapepo badala ya kuja hapa na kunibishia tafadhali nenda ukajitakase kimwili na kiroho uondokane na mapepo!
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu






you have to think big
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu

Unaonaje ungeanzisha thread yako? Naona umetoka nje ya mada. Mtoa mada ametaja wapi waarabu, Allah (usiandike allah), magaidi? Mimi hua naangalia ule usanii wanaofanya wale wanaotoa mapepo hua najiuliza maswali mengi, kama kila siku wakristu wanatolewa mapepo mbona mapepo hayaishi? Au yanajirudia? Kwanini wasiende muhimbili ata mara moja kwa mwaka kwa ajili ya maombi?. Hii kitu ni usanii wa mwisho
 
Wapendwa katika Bwana

Nimesoma Biblia inasema ukimpokea Yesu kuwa katika maisha yako anakuja kufanya makao ndani yako,

Swali
kwa nini baadhi ya watu waliokoka wana mapepo?je inawezekana vipi mapepo yawe ndani ya yule Mtu,kumbuka Yesu alisema ukinipokea nitakuja kufanya makao ndani yako,sio mimi tu bali hata baba yaani Mungu na Roho Mtakatifu wataishi ndani yako,Mtume Paulo akasema sio mimi naishi bali Yesu ndiye anaishi ndani yangu!sasa mapepo na Mungu wataishije kwenye mwili mmoja?
nimeona mifano mingi sana kanisani kwetu,nimeleta hapa labda mtasaidia kufafanua hili

Mkuu huko uliko utajiuliza maswali mengi sana na hutapata jibu labla ukae kimnya tu na ukiuliza sana utafika mbali....
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu

kwa hiyo unataka kusema waarabu huwapanda waliokoka? Na wale waarabu waliokoka wanapandwa na nani? Acha ubaguzi wa rangi suala la imani halina rangi.
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu
Umekosa jibu, unaleta hoja juu ya hoja.
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu

Ha ha hahaaa.

Umenifurahisha ulivotoka nje ya topic.

Greatest thinker of JF
 
Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu
Poleee Weee
 
rosemarie wewe mwenyewe umeokoka? kama hujaokoka huna mamlaka ya kuuliza hili swali. Ila kama umeokoka na bado una mapepo basi swali lako utajibiwa soon
 
Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu

psychiatric_ward_tee_shirts-ra25fb2f5bb534a079ff82fdc48c6ac0b_804gs_324.jpg
 
Mwenyewe kaona kajibu mada. na hivi unajuaje kama umeokoka?
 
Dah hata mie huwa na wasi wasi na imani ya kilokole kwasababu mimi ninavyojua kristu akiwa ndani yako pepo mchafu hawezi kuja wala kusogea ila walokole wengi wamejawa na mapepo huanguka hovyo makanisani mwao , hapo ndipo huwa najiuliza kila siku imani kwa Mungu na Yesu ikowapi? Mtoa mada umenisaidia sana jua hili swala kulileta hapa huenda yakapatikana majibu yatakayo faidisha na kuwaelimisha wengi
 
swali: Kwa nini umeokoka halafu una mapepo

jibu: kwasabu una mapepo halafu umeokoka.

can i get Ameeeeen for that???
 
Wapendwa katika Bwana

Nimesoma Biblia inasema ukimpokea Yesu kuwa katika maisha yako anakuja kufanya makao ndani yako,

Swali
kwa nini baadhi ya watu waliokoka wana mapepo?je inawezekana vipi mapepo yawe ndani ya yule Mtu,kumbuka Yesu alisema ukinipokea nitakuja kufanya makao ndani yako,sio mimi tu bali hata baba yaani Mungu na Roho Mtakatifu wataishi ndani yako,Mtume Paulo akasema sio mimi naishi bali Yesu ndiye anaishi ndani yangu!sasa mapepo na Mungu wataishije kwenye mwili mmoja?
nimeona mifano mingi sana kanisani kwetu,nimeleta hapa labda mtasaidia kufafanua hili

pia jiulize kwa nin wote wanaoombewa huanguka chali
 
Wapendwa katika Bwana

Nimesoma Biblia inasema ukimpokea Yesu kuwa katika maisha yako anakuja kufanya makao ndani yako,

Swali
kwa nini baadhi ya watu waliokoka wana mapepo?je inawezekana vipi mapepo yawe ndani ya yule Mtu,kumbuka Yesu alisema ukinipokea nitakuja kufanya makao ndani yako,sio mimi tu bali hata baba yaani Mungu na Roho Mtakatifu wataishi ndani yako,Mtume Paulo akasema sio mimi naishi bali Yesu ndiye anaishi ndani yangu!sasa mapepo na Mungu wataishije kwenye mwili mmoja?
nimeona mifano mingi sana kanisani kwetu,nimeleta hapa labda mtasaidia kufafanua hili

Halafu wengi wao ni wanawake. Sababu ni maisha ya dhambi ya huyo mlokole feki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom