Kwa nini umeokoka halafu una mapepo??

Kwa nini umeokoka halafu una mapepo??

Hakika magaidi na waarabu wanasoma sana biblia zama izi (ni kweli kwan hakuna nukuhu toka koran);Ni jambo zuri sana kwan mpango wa kuziweka ktk lugha za wenyeji umetimia.kitakacho futa ni kumfuta kristo

Amin usiamin!!Yesu Kristo ni maarufu kupita watu wote,mitume wote (akiwemo mud),miungu yote (akiwepo allah). Na wala huna haja ya kutetemeka,na kuwehuka,na kutoa povu, na kupandwa majini ya matusi.

Ebu soma mada zote toka enzi za jamboforum mpaka jamiiforum.Ni nani kajadiliwa sana.Pia tembelea forum nyingine,pia miadhara ya uswazi,pia dvd zinazouzwa nje ya miskiti halafu leta jibu.


Back to topic:

Mtu kupandwa na waarabu (mapepo) ni matokeo ya iman haba kama yenu

We mwehu nani alikwambia uarabu ndio uislamu?
 
wengine wanaingia tu kwenye dini lakini hawajaokoka. wokovu uko ndani ya mtu. Mungu na shetani ndo wanatambua mtu alieokoka kweli. japo kuna wengine wanaingiaga mkataba na mapepo aidha kwa kuchanjwa chale nk na watu hawa wanamhitaji Mungu kuvunja iyo mikataba. ila pia kuna wengine huwaga wanapretend WANA MAPEPO siku hizi watumishi wengi wakiombea watu anakusukuma hadi uanguke ili aonekane ana upako,uo ni ufinyu wa kumjua Mungu. Mungu ni msitaarabu sana anaweza kufanya mambo makubwa bila hata kuangusha watu.
 
Kinachookoka ni roho na wala si nafsi na mwili .mapepo yanakaa kwenye nafsi ili yautese mwili ushindwe kutenda yale mtu anayotakiwa kufanya ili kumpendeza Mungu wake.Baada ya kuokoka kinachofuata ni ukombozi wa mwili na utakaso wa nafsi. Baada ya hayo mtu atakuwa huru kumtumikia Mungu wake na mapepo hayawezi kumsogelea tena maana hayatakuwa na haki tens.
 
kinachookoka ni roho na wala si nafsi na mwili .mapepo yanakaa kwenye nafsi ili yautese mwili ushindwe kutenda yale mtu anayotakiwa kufanya ili kumpendeza mungu wake.baada ya kuokoka kinachofuata ni ukombozi wa mwili na utakaso wa nafsi. Baada ya hayo mtu atakuwa huru kumtumikia mungu wake na mapepo hayawezi kumsogelea tena maana hayatakuwa na haki tens.

hili ndo jibu. Na maada imeishia hapa.
Mpendwa kajibu vizuri mno
 
hakuna wokovu/kuokoka bila kufunguliwa au deliverance. kuokoka hakujakamilika bila kufunguliwa na vifungo vya ibilisi yani deliverance. NOTE: si kila anayesema ameokoka au anasali makanisa ya kilokole ameokoka. mtu anaweza kuwa mchungaji lakini bado hajaokoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom