Elevat Kapela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2017
- 630
- 1,837
Ndugu zangu Watanzania ili kubana matumizi yasiyokuwa ya lazima Kwa nini tusiache kuazimisha maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika ambayo limeshakufa tangu 1964 na tubaki tunaazimisha April 26 siku ya Muungano. Na fedha za maadhimisho ya Disemba 9 zipelekwe kwenye shughuli za maendeleo au kulipa madai ya walimu ?