JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,525
- 7,588
nimekuwa nikijiuliza kwa nini simu za mkononi zinahitaji minara mingi tofauti na ile ya redio.karibu maeneo mengi yana minara ya simu lakini minara ya redio sijawahi kuiona huku mitaani lakini bado redio hizo zinasikika karibu maeneo yote. pia nafahamu kuwa redio na simu zote zinatumia electromagnetic waves sasa nini kinasababisha tofauti hii?