Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,996
- Thread starter
- #61
muulize mwanakijiji ni nini kimo na hakimo kwenye muswada hatasema kwa undani lakini hotuba ya Rais ataichambua utadhani ndio katiba yenyewe.
sijui umeingiiaje lakini huo mswada nilishauchambua vipengele kwa vipengele kabla CCM jhawajacharuka. Ipo thread tafute tu hapa.