Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau nimefarijika sana na habari kuwa bwana JK amemsimamisha kazi rafiki yake Jairo kwanini na Ngeleja asimfuate?kitendo cha yeye kwenda kumpokea na kumkumbatia ni kulidhalilisha bunge, waziri mkuu na kuonekana kushangilia kosa lilofanyika.
Kwa nini Ngeleja asimamishwe kwa kushindwa kuleta unafaa na maendeleo katika wizara anayo iongoza kwa miaka 4 na zaidi sasa?
Kwa nini Ngeleja asimamishwe kwa kushindwa kuleta unafaa na maendeleo katika wizara anayo iongoza kwa miaka 4 na zaidi sasa?