Unajua kuna ujinga na kasumba imezuka siku hizi ya kufanya msiba kama sehemu ya maonyesho na kujipatia social and political mileage! Ni unafiki mtupu! Kama MO au Bakhessa hakuwa na undugu au urafiki na marehemu mimi sioni sababu ya kwenda. Yaani watu wana-suggest waende kwa sababu tu tajiri mkubwa au mtu maarufu amefariki?MO si muhindi Sasa tatizo nn, mbona misiba ya Wahindi wenzake anahudhuria? Sema kwa nn MO haudhurii misiba ya Waafrika????
Bakhresa alikuepo Jana mkuu,,,Umewahi muona bakhresa msibani.
Msiba wa Ruge alikuwepo jamani.Watu wengi wameanza kuhoji Kwanini @moodewji hahudhulii kwenye misiba?!
Msiba wa Ruge Mutahaba hakuwepo, msiba wa Ephraim Kibonde hakuwepo na msiba wa Dr Reginald Mengi hakuwepo.
Mnakumbuka kipindi alipotekwa Tulivyoungana tukapaza sauti na kumlilia pamoja na kumuombea mpaka akarudi mzima?!?
Maybe labda anahisi hayamuhusu basi na sisi kumbe tulijipendekeza kipindi kile.
Funguka tu kwa mawazo yako
View attachment 1093210
Tajiri ni mtu wa kutuma tu...atakutuma akiwa hai na atakutuma na kukutumia akiwa amekufa....Umeshawahi kuona tajiri anachimba kaburi
Hata simjui mkuu, picha yake basBakhresa alikuepo Jana mkuu,,,
JK alikuwepo Moshi?Huyu jamaa haonekani misibani kwa nini? Sio tu kuzika hata kwenda kuhani?
Anaona kuwa karibu na wanasimba ndio kila kitu mpaka anaisahau jamii ingne?
Au masharti ya wataalamu wake
Mmeamka sasa kutoka usingizini....pigeni miswaki mgonge teeWatu wengi wameanza kuhoji Kwanini @moodewji hahudhulii kwenye misiba?!
Msiba wa Ruge Mutahaba hakuwepo, msiba wa Ephraim Kibonde hakuwepo na msiba wa Dr Reginald Mengi hakuwepo.
Mnakumbuka kipindi alipotekwa Tulivyoungana tukapaza sauti na kumlilia pamoja na kumuombea mpaka akarudi mzima?!?
Maybe labda anahisi hayamuhusu basi na sisi kumbe tulijipendekeza kipindi kile.
Funguka tu kwa mawazo yako
View attachment 1093210
Kweli kabisa hawana lengo lolote na sisiMakosa mnayoyafanya au tunayoyafanya sisi watu weusi ni kuona wahindi, waarabu na wazungu ni ndugu zetu wakati ukweli ni kwamba wao wanatuona sio ndugu zao huo ndio ukweli mchungu, Mtu mweupe hata awe rafiki yako wa karibu sana jua tu moyoni kwake hana undugu na wewe na moyoni kwake wewe upo tu kama binadamu mweusi..
Waafrica tujitahidi kupendana wenyewe na kujenga mataifa yetu tuache ubinafsi na ujinga wetu ili tujenge heshima yetu hapa duniani. Dunia haiwezi kuheshimu mpumbavu hata siku moja na hivyo ndivyo Waafrica tunavyochukuliwa na Dunia, Kujitoa kwenye upumbavu na kujenga heshima ni kujenga Mataifa yetu ya Africa na kuacha mambo ya kipumbavu yanayofanya Africa kuwa Masikini..



