Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

NI WATU WENYE UBAGUZI WA HALI YA JUU, NA WANATUDHARAU MNO, KUMBUKA WALIKUJA NA NGUO TU NDANI YA BEGI LAKINI KWA KUSHIRIKIANA NA WATU WASIOJIAMINI HASA WAFANYAKAZI WA MABENK WAMEPEWE MITAJI NA WAMEJITAJIRISHA NDANI YA ARDHI YETU NA KUSAFIRISHA MALI YA NCHI KWAO. KWA KWELI NI WASHENZI MNO

Kwa maelezo yako yanadhihirisha kuwa Wewe mwenyewe ni mbaguzi
 
Watu wengi wameanza kuhoji Kwanini @moodewji hahudhulii kwenye misiba?!

Msiba wa Ruge Mutahaba hakuwepo, msiba wa Ephraim Kibonde hakuwepo na msiba wa Dr Reginald Mengi hakuwepo.

Mnakumbuka kipindi alipotekwa Tulivyoungana tukapaza sauti na kumlilia pamoja na kumuombea mpaka akarudi mzima?!?

Maybe labda anahisi hayamuhusu basi na sisi kumbe tulijipendekeza kipindi kile.

Funguka tu kwa mawazo yako

View attachment 1093210

Acha ujinga mkuu. Sasa ahudhurie kila msiba hata usiomuhusu? Ninavofahamu mimi watu huhudhuria misiba ya Famila, Marafiki, Majirani. sio kila mtu
 
Kuna andiko moja linasema waacheni wafu wakazike wafu wenzao huwa lina maana gani vile?

binafsi hata mimi ni mzito sana kwenda kwenye misiba ingawa naumia kusikia mtu amekufa.
We ukifa
Utajizika??
Mimi huwa siendi ila naona sio jambo zuri. Ukifa nawewe utazikwa na wengine
 
Mtamteka, hahah, atazikwa na wana Simba, hana presha.
 
Huyu jamaa haonekani misibani kwa nini? Sio tu kuzika hata kwenda kuhani?
Anaona kuwa karibu na wanasimba ndio kila kitu mpaka anaisahau jamii ingne?
Au masharti ya wataalamu wake

Unataka kila msiba aonekane! Na kama haumhusu ajipeleke tu!!
 
Makosa mnayoyafanya au tunayoyafanya sisi watu weusi ni kuona wahindi, waarabu na wazungu ni ndugu zetu wakati ukweli ni kwamba wao wanatuona sio ndugu zao huo ndio ukweli mchungu, Mtu mweupe hata awe rafiki yako wa karibu sana jua tu moyoni kwake hana undugu na wewe na moyoni kwake wewe upo tu kama binadamu mweusi..

Waafrica tujitahidi kupendana wenyewe na kujenga mataifa yetu tuache ubinafsi na ujinga wetu ili tujenge heshima yetu hapa duniani. Dunia haiwezi kuheshimu mpumbavu hata siku moja na hivyo ndivyo Waafrica tunavyochukuliwa na Dunia, Kujitoa kwenye upumbavu na kujenga heshima ni kujenga Mataifa yetu ya Africa na kuacha mambo ya kipumbavu yanayofanya Africa kuwa Masikini..
Noted
 
Watu wengi wameanza kuhoji Kwanini @moodewji hahudhulii kwenye misiba?!

Msiba wa Ruge Mutahaba hakuwepo, msiba wa Ephraim Kibonde hakuwepo na msiba wa Dr Reginald Mengi hakuwepo.

Mnakumbuka kipindi alipotekwa Tulivyoungana tukapaza sauti na kumlilia pamoja na kumuombea mpaka akarudi mzima?!?

Maybe labda anahisi hayamuhusu basi na sisi kumbe tulijipendekeza kipindi kile.

Funguka tu kwa mawazo yako

View attachment 1093210
Ni mbinafsi sana
 
Uzwazwa huo wapi nmeongelea kuhudhuria msiba wa mengi? Ama misiba kwa ujumla?
Unataka Mo akienda misibani akualike ? ebu acha utoto unajua mpaka sasa amezika wangapi au amehudhuria misiba mingapi? acha kushangaa vitu vya kawaida , hakuna ulazima Mo kuwepo ata asipokuwepo DON Mengi atazikwa tu, hivyo sio habari
 
Makosa mnayoyafanya au tunayoyafanya sisi watu weusi ni kuona wahindi, waarabu na wazungu ni ndugu zetu wakati ukweli ni kwamba wao wanatuona sio ndugu zao huo ndio ukweli mchungu, Mtu mweupe hata awe rafiki yako wa karibu sana jua tu moyoni kwake hana undugu na wewe na moyoni kwake wewe upo tu kama binadamu mweusi..

Waafrica tujitahidi kupendana wenyewe na kujenga mataifa yetu tuache ubinafsi na ujinga wetu ili tujenge heshima yetu hapa duniani. Dunia haiwezi kuheshimu mpumbavu hata siku moja na hivyo ndivyo Waafrica tunavyochukuliwa na Dunia, Kujitoa kwenye upumbavu na kujenga heshima ni kujenga Mataifa yetu ya Africa na kuacha mambo ya kipumbavu yanayofanya Africa kuwa Masikini..
Hii Post yako mkuu ni GOAT(Greatest of All Time) Big Up. Natamani wengi wangekuelewa na kutake action!
 
Umewahi kumuona mm2 au shivacom au yule mmiliki wa Sayona.. Au
Zakaria Sukari je?
 
Back
Top Bottom