Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

Wahindi na waarabu ni wabaguzi huwa hawajichanganyi na rangi yetu hii nyeusi,wapi umewahi muona Bakharesa,Manji,Mo na wengine kwenye social issues kama misiba?
 
Hivi Dewji aliyetajwa kuwa amefika kuuaga mwili wa Mengi pale Karimjee alikuwa ni Dewji gani
 
Azim Dewji. Nilimuona kwa macho yangu. Watu waache noma.

Nilimsikia mtangazaji mmoja aitwaye Sebastian Kolowa kama sijakosea alimptaja Dewji kuwa anamwona akielekea kutoa heshima za mwisho
 
Muache kulia lia jueni wahindi ni wanafiki huyu unaafiq wake hataki kuuonyesha hadharani anaacha kwenda ili mjue ubaguzi wake ulivyo,unadhani angekufa muhindi mwenzake au mwarabu angeacha kwenda?

Tena na waandishi wa habari angezungumza nao kumsifia marehemu husika.muhindi siyo ndugu yenu kama mlijipendekeza sijui kampen apatikane yeye hakuwatuma mfanye hivyo.
 
sis watanzania kwa kulalamika tuko vizur Mbona dewj alikuja kuaga pale karemji
 
Alipotekwa MO, Mengi kama Reginald aliwahi kutoa statement yoyote kuzungumzia tukio hilo?

au Ruge aliwahi kuongelea tukio hilo kama alivyoguswa kutekwa kwa Roma Mkatoliki?
sasa ruge si alikuwa mgonjwa taabani!! Mengi mbona alitweet...
 
Post za Mo huko mitandaoni toka huu msiba umetokea ni motoo. Ya leo ndio funga kazi.
 
Watu wengi wameanza kuhoji Kwanini @moodewji hahudhulii kwenye misiba?!

Msiba wa Ruge Mutahaba hakuwepo, msiba wa Ephraim Kibonde hakuwepo na msiba wa Dr Reginald Mengi hakuwepo.

Mnakumbuka kipindi alipotekwa Tulivyoungana tukapaza sauti na kumlilia pamoja na kumuombea mpaka akarudi mzima?!?

Maybe labda anahisi hayamuhusu basi na sisi kumbe tulijipendekeza kipindi kile.

Funguka tu kwa mawazo yako

View attachment 1093210
Nadhani anafahamu kuwa ana maadui wengi sana, na hana ulinzi, unakumbuka alivyotekwa?
 
Back
Top Bottom