Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

Kwa Nini Mo Dewiji haendi misibani?

"Au masharti ya wataalamu wake",fikirishi
Huyu jamaa haonekani misibani kwa nini? Sio tu kuzika hata kwenda kuhani?
Anaona kuwa karibu na wanasimba ndio kila kitu mpaka anaisahau jamii ingne?
Au masharti ya wataalamu wake
 
Watu wanenda msibani ili kuwaonyesha watu kuwa wako msibani.
 
Huyu jamaa haonekani misibani kwa nini? Sio tu kuzika hata kwenda kuhani?
Anaona kuwa karibu na wanasimba ndio kila kitu mpaka anaisahau jamii ingne?
Au masharti ya wataalamu wake
Hili ni tatizooo.Hata Baharesa sijawahi kumuona au kusikia kaenda msibani!!!!
 
Watu wengi hawana kazi......., JK alisemwa ni muuza sura kwamba hakosi kwenye misiba..., leo hii huyu haonekani

Point yangu tuache kupangiana na kufuatiliana maisha..,
 
Mo ni famous angeenda mashabiki wa simba wangeacha msiba waje kumshangaa yeye
 
Subhash Patel ni mmoja wa viongozi wa chama cha wafanyabiashara na alikuwepo kwenye ratiba ya kutoa hotuba hakuwa na namna lazima angekuwepo tu, Vipi ulimuona Bakhressa na Rostam, Manji vipi naye alikuwepo?
14DAB935-9B3D-42BC-9037-A4DEC6F71894.jpeg
 
Aliekufa amekufa ,asipozikwa na ndugu atazikwa na manispaa, wacha maisha yaendelee kwa walio hai, kwani Mengi ni nani mpaka kila mtu hawepo msibani kwake? yeye Mengi amehudhuria msiba gani kwa Mo ,acheni majungu
Uzwazwa huo wapi nmeongelea kuhudhuria msiba wa mengi? Ama misiba kwa ujumla?
 
Mm nahudhuria misiba inayonihusu tu wa baba wa taiga nilienda kwa sababu ni baba wataifa.....ila mingine wasiyonijua siendi unaenda kwenye msiba ambao hata wewe ukifiwa hao watu hawaji!!!...hamjui matajiri hawapendi hata muende kwenye misiba yao ndo maana huwa wengine wanatoa kadi kwa wanaotakiwa kuja msibani!huo ndo ukweli japo mchungu!
 
Huyu jamaa haonekani misibani kwa nini? Sio tu kuzika hata kwenda kuhani?
Anaona kuwa karibu na wanasimba ndio kila kitu mpaka anaisahau jamii ingne?
Au masharti ya wataalamu wake
Usha wahi kumwona mhindi au mwarabu msibani? Au ushawahi kuhudhuria misiba ya kwao ukaona inafanyikaje? Ntakupa baadhi ya dondooo:-
1. Hawaamini kuzika, wao huchoma moto mwili na majivu huhifadhiwa
2. Akifa mtu hawana utamaduni wa chakula msibani, wao wanaamini ni jambo lisilowezekana maana huwezi mlazimisha ale wali harage wakati yeye chakula chake ni chapati za ngano isiyokobolewa. Hivyo hata kwenye misiba yao, hakuna chakula, kila mtu atakula kwake.
 
Subhash Patel ni mmoja wa viongozi wa chama cha wafanyabiashara na alikuwepo kwenye ratiba ya kutoa hotuba hakuwa na namna lazima angekuwepo tu, Vipi ulimuona Bakhressa na Rostam, Manji vipi naye alikuwepo?
Manji alikua na bifu na mzee sio rahisi kwenda, afu bakhressa alituma muwakilishi nyumbani kwake na alizungumza kwa mo sijajua labda alikua anasherekea birthday yake
 
Usha wahi kumwona mhindi au mwarabu msibani? Au ushawahi kuhudhuria misiba ya kwao ukaona inafanyikaje? Ntakupa baadhi ya dondooo:-
1. Hawaamini kuzika, wao huchoma moto mwili na majivu huhifadhiwa
2. Akifa mtu hawana utamaduni wa chakula msibani, wao wanaamini ni jambo lisilowezekana maana huwezi mlazimisha ale wali harage wakati yeye chakula chake ni chapati za ngano isiyokobolewa. Hivyo hata kwenye misiba yao, hakuna chakula, kila mtu atakula kwake.
Kwani msibani lazima ule?
 
Kwani msibani lazima ule?
Nimeeleza mila na desturi za wahindi, lkn unauliza swali la kizembe. Kama wewe ni african, hudhuria misiba sana lkn usile utakuja kupata swawabu yako. Kula msibani kwa mila na desturi za africa ni lazima siyo ombi
 
Rostam alikuwepo
Subhash Patel ni mmoja wa viongozi wa chama cha wafanyabiashara na alikuwepo kwenye ratiba ya kutoa hotuba hakuwa na namna lazima angekuwepo tu, Vipi ulimuona Bakhressa na Rostam, Manji vipi naye alikuwepo?
 
Mganga wake kamkataza,mashert ya dawa hayaruhusiwi kuhudhuria msiban
 
...Hivi mzee Lowassa alienda msibani..maana sikumuona...hata Rostam hakuonekana!
 
Back
Top Bottom